Pearl
JF-Expert Member
- Nov 25, 2009
- 3,036
- 309
- Thread starter
- #41
nina hakika sana,nitafutie soko,nawatoa dodoma,wala si wa kizungu pwua kienyeji
Una uhakika? Je umetangaza biashara yako kiasi gani? Nina amini watu wengi sana wanapenda kula kuku wakienyeji. Labda uniambie ni wa wa CURL (kuku wa mayai) wanaokaa miaka miwili kisha wakizeeka wanauzwa kana kwamba ni kuku wa kienyeji (ndio tunaolishwa hapa mjini).
Ila kama ni kuku wa kienyeji ''orijino'' kama wale wa mikoa ya kanda ya ziwa, basi soko lao hapa mjini ni kubwa sana!