KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Je ninyi walamba asali mnaovaa uniform za kishoga na kutembea mkinata mkishapewa vyeo hamtaki hata kusogelea tena watu, mnajifanya special miungu watu. Niko radhi kuwavumilia CDM miaka 25
View attachment 65583
Barabara za Arusha nasikia zimejengwa/Zinajengwa na Serikali ya CCM kwa kushirikiana na wapenzi wa CCM!
Enyi CHADEMA Arusha kuna nini kinachopelekea watu kukosa Imani kwa Chama Cha Matatizo na kuamua kumpenda Lema?
Tafadhali, nijulisheni aliyoyafanya Lema hapa Arusha na nchini Tanzania.
Wanachadema wanakuwa wakali wanapoulizwa maswali critical kama haya, ila naomba watumie hii fursa vizuri ili waweze kuvutia watanzania ambao bado hawajawa na msimamo wa kiitikadi.
Ila vilevile wananchi nao wapate fursa ya kuona, kuchambua na mwisho kufanya maamuzi juu ya nafasi nyeti na yenye heshima hapa nchini walizopewa wapinzani, nafasi ya uwakilishi wa wananchi katika bunge tukufu la jamhuri ya muungano wa tanzania.
Tupunguze ushabiki katika kuorodhesha mambo aliyofanya mbunge huyu tangu wana-arumeru mashariki walipompa ridhaa.
hata fisi wa serengeti hupewa dawa na wafadhili bila CCM.Arusha ni mikopo ambayo kila raia analipa wala CCM hawana cha kujivunia hapa.
Hivi wale twiga walibebwa wapi wakapelekwa Quatar?Na umasikini wa Wana-Arusha walio wengi umesababishwa na sera mbovu za CCM. Na wizi wa rasilimali za Arusha na Tanzania kwa ujumla unasababishwa na sera mbovu za Serikali ya CCM... Alichofanya Lema na anachoendelea kukifanya ni kushiriki harakati za kuikomboa Tanzania na watanzania dhidi ya mfumo dhalimu wa CCM.
Wanachadema wanakuwa wakali wanapoulizwa maswali critical kama haya, ila naomba watumie hii fursa vizuri ili waweze kuvutia watanzania ambao bado hawajawa na msimamo wa kiitikadi.
Ila vilevile wananchi nao wapate fursa ya kuona, kuchambua na mwisho kufanya maamuzi juu ya nafasi nyeti na yenye heshima hapa nchini walizopewa wapinzani, nafasi ya uwakilishi wa wananchi katika bunge tukufu la jamhuri ya muungano wa tanzania.
Tupunguze ushabiki katika kuorodhesha mambo aliyofanya mbunge huyu tangu wana-arumeru mashariki walipompa ridhaa.
Kama huna data usiongee kabisaa, barabara za Arusha na zile za Mbeya hazijengwi na CCM, tena wafadhili wa hizi barabara waligoma kuwapa pesa mkononi wanaserikali ya CCM maana wanawajua kwa uchakachuaji "Tumbo kwanza maendeleo baadaye". Waliamua kusimamia maswala ya pesa wenyewe na ndio maana unaona ufanisi wa kipekeeView attachment 65583
Barabara za Arusha nasikia zimejengwa/Zinajengwa na Serikali ya CCM kwa kushirikiana na wapenzi wa CCM!
Enyi CHADEMA Arusha kuna nini kinachopelekea watu kukosa Imani kwa Chama Cha Matatizo na kuamua kumpenda Lema?
Tafadhali, nijulisheni aliyoyafanya Lema hapa Arusha na nchini Tanzania.