Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,248
- 6,378
Mtu unayemjuwa anampa namba yako ya simu mtu usiye na mpango naye, then anakupigia simu anakuambia nimepata namba yako ya simu kwa fulani. Vipi unaendeleaje wewe, mbona siku nyingi mshikaji?