Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
aaah. Ustaarabu ni kupiga simu twice, ile mara ya pili ni kama alikuwa mbali na simu. Other than that ni usumbufu. Wakati naosha vyombo siachagi kazi yangu kupokea simu nayojua si muhimu. Lakini mtu kakazaniiia vitu vyenyewe anavyotaka kukwambia umbea!
Anakudai.....haat wadeni hawapokei simu kirahisi