Nini tofauti ya hizi picha 2 ??

Hahaha watu wanalalamika nini jamani na wameona onyoo usifungue kama unapressure...ahahah. Inabidi ibadilike heading iwe jua kama unapressure au la....?
 
Du! Yan ilivoanza tu nikazimia ,nilipozinduka nkakuta laptop imezima ndo nimeiwasha sa hivi nijaribu kuwaasa wenzangu wenye presha -don dare to open it!
 
Shenzi kabisa!! Ungekuwa karibu lazima ningekukata kibao, k.u.m.a nina zako. Nusura uniue nyoko wewe!!
jitahidi kuuzuia hasira yako na epuka kutumia lugha kali jifunze kuwa mvumilivu nadhani hutafanya tena
 
Mlioifungua tudokezeeni inahusu nini ili tuamue kufungua au kuacha

acha kabisa kusikia, ni noma, looh! nusura nife km wengine, shenzi kabisa. ( sijaifungua siijui hata ikoje, nimeungana tu na wengine wanaosema wamefungua, ha ha ha ha ha haaaaa.....)
 
Back
Top Bottom