<br />Click link hii hapa chini, na uangalie tofauti ya hizo picha mbili utakazoziona..<br />
<br />
<font color="#ff0000"><font size="3"><b>Note: Usifungue kama una-hisi una pressure</b></font></font><br />
<a href="http://www.susya.ru/flash/fvp.swf" target="_blank"><br />
<br />
http://www.susya.ru/flash/fvp.swf<br />
<br />
<br />
</a>
tahadhali gani unataka zaidi ya hiyo alioweka? au hukuelewawe usirudie tena, utakuja ua watu kwa mshtuko wa moyo!next time uweke tahadhari.
Kwa wale waliodai kuwa Moseley angeweka tahadhari, mbona tahadhari ipo!Click link hii hapa chini, na uangalie tofauti ya hizo picha mbili utakazoziona..
Note: Usifungue kama una-hisi una pressure
http://www.susya.ru/flash/fvp.swf
Mbona haitishi, cha mtoto hicho .Wengine tumepambana na misukule itakuwa hii
<br />Shenzi kabisa!! Ungekuwa karibu lazima ningekukata kibao, k.u.m.a nina zako. Nusura uniue nyoko wewe!!
bora mmi sijafunguuuuuua dodiShenzi kabisa!! Ungekuwa karibu lazima ningekukata kibao, k.u.m.a nina zako. Nusura uniue nyoko wewe!!
Mbona mkuu hukuchukua tahadhali,aaah, mambo gani haya tena!?? yaani umenipandisha pressure na kuniharibia kazi zangu. Ingekuwa ulaya wewe ungelipa fidia. Mod iondoeni hii isije ikaua watu bure.
Ukianza kuiona utasema huyu jamaa amasema nitoe tofauti kati ya picha hizo huku ukiwa unatafakali linkauja lidude fulani la kutisha ubaya ni kuwa ni lazima utakuwa hujjaiandaa hivyo kukushitua na kama una pressure ndiyo balaa.<br />
<br />
hapa cm yangu haifungui ila kwa haya matusi i can imagne inavotisha!