Hakuna sababu ya kuwa na muungano kama hakuna serikali moja. Na hata wale wanaosema kuwa pawe na serikali tatu yaani sesikali ya mapinduzi Zbar, serikali ya jamuuri ya Tanganyika na serikali ya jamuuri ya muuanga ya Tanzania pia naona hawatakua na jipya kwani bado hapatakuwa na faida yoyote zaidi ya kuOngeza matumizi ya pesa za walipa kodi kwa ajili ya kulipa msururu wa viongozi kwenye serikali hizo. Kama ni mahusiano ya kiuchumi tutakutana kwenye East African Community kwisha. Kama Zbar wana katiba yao inayowatambua kama nchi kwa nini watanganyika na sisi tusiwe na yetu? why? TO ma side mi naona hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho, hakuna kinachozali kisichokufa so huu ndio wakati muafaka wa kuiua Tanzania na kubakia na nchi mbili i.e. Tanganyika na Zanzibar kwa kua hata wazbar wanataka hivyo.