issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,956
- 4,782
mimi ningalikuwa ndiyo Godbless lema, nikitoka tu mahabusu naachana na siasa. Sababu kama maisha mazuri ninayo miradi ya kuniingizia pesa nje ya siasa ninayo, kwanini niteseke na siasa? Kwa manufaa ya nani? Watu wenyewe ninaowapigania ni wale wa kunikebehi tu na kuniona sina la maana kwao. Naachana na siasa to be honest.