henry koboko
Member
- Sep 26, 2016
- 98
- 55
Mwambieni huyu si jui katokea wapi na sijui kala maharage ya wapi?
Mandela alikaa gerezani miaka 27 na baada ya kutoka akaja kuwa Rais na akawasamehe wote waliomfanyia fitna.mimi ningalikuwa ndiyo Godbless lema, nikitoka tu mahabusu naachana na siasa. Sababu kama maisha mazuri ninayo miradi ya kuniingizia pesa nje ya siasa ninayo, kwanini niteseke na siasa? Kwa manufaa ya nani? Watu wenyewe ninaowapigania ni wale wa kunikebehi tu na kuniona sina la maana kwao. Naachana na siasa to be honest.