Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
Ili nikiomba yale mambo yetu ni nyimwe lol?
Hahahaha hapa umenichekesha kweli Rev mwe! so utakua unachukia huku unatoa cause na wewe waogopa kunyimwa
Ili nikiomba yale mambo yetu ni nyimwe lol?
Hahahaha hapa umenichekesha kweli Rev mwe! so utakua unachukia huku unatoa cause na wewe waogopa kunyimwa
Hapo zile sababu zenu zitashamiri! Naumwa tumbo, kichwa cha nigonga sana, smiko kwenye mood.....utakoma. Utageuziwa Mgongo Hadi ukome......ili mradi vituko!!!!!
Meona eeee, maana utakuta umekaa na mtu mahala bill ikija anajifanya kama haimuhusu vile, au ooo kadi nimesahau... yaani kuna warembo wanachunwa bala, kuna dada mmoja hajaolewa na anafanya kazi kwenye bank ni boss fulani basi kila akipata bf anakuwa hajampenda yye ni pesa, hata akiamua kwenda dinner yanamkuta, mizinga kila mara, mara mkaka anataka aongezewe pesa imepungua abadili gari. hii inamsumbua sana kiasi ameona hataweza kupata mchumba wa ukweli coz kila anayekuja anakuja kwa style ya mizinga,kaamua kuacha kabisa sasa
wasiofanya kazi nawagrupu pamoja na mahausigeli na mahausibois...hao wanaomba kuanzia kitana, tissue, mahindi hadi kufunguliwa akaunti... hapo sijagusia nauli, poda, mswaki, pesa ya kuritachi na walio advance wanaomba hadi viwanjaUmechukua mauzoefu ya mchungaji nini?Umewasahau wasiofanya kazi.
Mchungaji hii post ni very uziful
Iko hivi kwamba suala zima linachangiwa pia na ukware wetu si wanaume
Uzoefu unaonyesha kuwa kama 'umetembea' na mtoto wa kike yeyote hasa wa mjini, na kama ulishaonyesha uzoefu wa kuclear bills, hukawii kupigwa mzinga kama hivi"
"Switii, niazime 100,000 nimalizie ada ya mtoto, mwisho wa mwezi nakurudishia". SAHAU.
"Baby, kuna rafiki yangu nilimuahidi mchango wa kitchen party, niazime kama 80,000 nitakurudishia". SAHAU.
Cha kunote ni kwamba wako very strategic ni wakati gani wanaomba...inakuwaga pale ambapo mapenzi yapo kwen peak....na mind you, hizi zinakuwa nje ya zile variable costs kama bills za vinywaji, chakula, usafiri, mawasiliano (vocha za hapa na pale nk)
Mimi naona ni aina mpya ya 'utapeli' ulioingia mjini
tatizo, anakwambia hivyo sasa ole wako ukatae au useme sina, ujue hapo ndo mwisho wa penzi, au uthubutu kukumbushia, hapo imekula kwako,
Sasa mi najiuliza, kwa nini watu wanajidhalilisha hivyo? kwa nini utake kitu kwa gia ya kuazima badala ya kuomba kama usaidiwe tu huku ukijua kabisa huu ni mzinga?
Sio ustaaarabu kabisa...sio wadada, sio wakaka....
mbona hujamalizia stori?Wadau!
Kama alivyosema Rev hapo awali wapiga mizinga ni very tricky and proffesional.
Last year nilifanya Birthday yangu tulikuwa watu kama nane hivi tuka enjoy vizuri tu baada ya hapo dada mmoja nilikuwa sina mazoea nae sana zaidi ya salamu siku ya birthday akaniletea zawadi ya Boxer, vest na Soksi, dah nikaanza kuchat nae, baada ya wiki 3 nikapigwa mzinga wa elfu hamsini na sababu aliyoitoa ilikuwa ni reasonable kabisa niliitoa pesa kwa shingo upande...
Kama wadau walivyosema inatupasa kula kutokana na urefu wa kamba zetu.
Meona eeee, maana utakuta umekaa na mtu mahala bill ikija anajifanya kama haimuhusu vile, au ooo kadi nimesahau... yaani kuna warembo wanachunwa bala, kuna dada mmoja hajaolewa na anafanya kazi kwenye bank ni boss fulani basi kila akipata bf anakuwa hajampenda yye ni pesa, hata akiamua kwenda dinner yanamkuta, mizinga kila mara, mara mkaka anataka aongezewe pesa imepungua abadili gari. hii inamsumbua sana kiasi ameona hataweza kupata mchumba wa ukweli coz kila anayekuja anakuja kwa style ya mizinga,kaamua kuacha kabisa sasa
Masikini mdada wa watu, aangalie na yeye na aina ya wanaume wanaomfuata, pengine anachukua masharobaro na masharobaro wanatabia ya kuambiana. Utasikia pale kuna neeema mwana mzukie na wewe mi keshanishtukia. Na wenzetu wanaume hawana wivu wivu wa hovyo kama sisi so kupasiana hawaoni tabu.
Abadilike kwani wanaume wastaarabu wapo wengi tu, asichague chague sana
Maty si unajua wadada wengi wakifika 29 hadi 35 wanakuwa wanapenda watu single ili waje wajenge family zao? sasa wale ambao wako single ndio waanamtesa ,before alikuwa na mme wa mtu wa umri 35 wala hakumtesa kabisa na wala hakuwa na mizinga ya kishambaMasikini mdada wa watu, aangalie na yeye na aina ya wanaume wanaomfuata, pengine anachukua masharobaro na masharobaro wanatabia ya kuambiana. Utasikia pale kuna neeema mwana mzukie na wewe mi keshanishtukia. Na wenzetu wanaume hawana wivu wivu wa hovyo kama sisi so kupasiana hawaoni tabu.
Abadilike kwani wanaume wastaarabu wapo wengi tu, asichague chague sana
Wewe hupigi mizinga rev? unajua kuna wanawake ni proffessional yaani hujaombwa umetoa mwenyewe.. yani jinsi ukiwa nae unahisi tu kumuhudumia mwenyeweKabisa Tupo wengi wazuri kuliko hao masharouharo!
Maty si unajua wadada wengi wakifika 29 hadi 35 wanakuwa wanapenda watu single ili waje wajenge family zao? sasa wale ambao wako single ndio waanamtesa ,before alikuwa na mme wa mtu wa umri 35 wala hakumtesa kabisa na wala hakuwa na mizinga ya kishamba
Wewe hupigi mizinga rev? unajua kuna wanawake ni proffessional yaani hujaombwa umetoa mwenyewe.. yani jinsi ukiwa nae unahisi tu kumuhudumia mwenyewe
kwenye mapenzi hakunaga kukopeshana bwana Masa, huwa mnapeana tu, hapo kwenye Gucci lazima awe mr wangu kama ni bfrnd 2 achore chini...hahaha
wasiofanya kazi nawagrupu pamoja na mahausigeli na mahausibois...hao wanaomba kuanzia kitana, tissue, mahindi hadi kufunguliwa akaunti... hapo sijagusia nauli, poda, mswaki, pesa ya kuritachi na walio advance wanaomba hadi viwanja
Mimi napiga mizinga kiakili....si Mara kwa mara pale inapobidi! Nategemea hata upande wa pili....usiwe na mizinga ya kijinga
Kwa hiyo dada maswala ya faranga kwake ni mwiko kutoa? Yeye kwavile anatoa nyuchi ndo basi
Hiyo ndo adhabu yakumuibia mwenzie mume!!!