Ghana na Nigeria wanachora sana hizi picha.Yupo mmoja lkn ni mnaijelia sasa cjui tutampata vp,View attachment 1919630
Da aiseeeYupo mmoja lkn ni mnaijelia sasa cjui tutampata vp,View attachment 1919630
Hii picha inanishawishi kutenda dhambi,lkn ishindwe kwa Jina la Yesu Kristo.Yupo mmoja lkn ni mnaijelia sasa cjui tutampata vp,View attachment 1919630
Kwani wale wanaochora Tingatinga hawawezi kukusaidia?!
Wazee wa Yahoo boys humu kupigwa nje njeYupo mmoja lkn ni mnaijelia sasa cjui tutampata vp,View attachment 1919630
Mimi ni msanii mchoraji tena wa contemporary.
Tingatinga ni style ambayo haina realism.Kwani wale wanaochora Tingatinga hawawezi kukusaidia?!
Hiyo ni hyper realism huwa haina ufundi sana zaidi ya kufuata principles.Utukufu kwa Mungu juu mbinguni huu ujuzi wa kuchora hivyo kwakweli ni wahali ya juu sana .
Una namba ya huyo mdada pichani??Yupo mmoja lkn ni mnaijelia sasa cjui tutampata vp,View attachment 1919630
Picha moja ya ukubwa wa A4 nachora kwa laki 2. Niinbox nikupe mawasiliano yanguUkimpata naomba na mm uniunganishe naye