Picha: S2kizzy ajipaka rangi kwenye kucha

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Producer mkali na mwenye Hits za kutosha kwenye kiwanda cha BongoFleva "S2kizzy" amejipaka rangi kwenye kucha zake.

Angalia picha hapa,
Snapinsta.app_426672575_683576340520321_129673572656258081_n_1080.jpg


Snapinsta.app_426374047_934727567736932_8310890594658764513_n_1080.jpg


Snapinsta.app_426634232_380615454713202_8966800232064765537_n_1080.jpg


Nini maoni yako?

Written by Mjanja M1 ✍️
 
kusuka na kupaka rangi kucha, hakuna yenye afadhali!... Vyote halua halua!

Wavulana wa kileo kufanya vitu vya wadada imekuwa kawaida na inaonekana fasheni!

Atoboe na pua... Akitaka kutobolewa na tundu ya huko nyuma! Nipo aniite! Nachoronga hizo tundu Barrabara kabisa!
 
kusuka na kupaka rangi kucha, hakuna yenye afadhali!... Vyote halua halua!

Wavulana wa kileo kufanya vitu vya wadada imekuwa kawaida na inaonekana fasheni!

Atoboe na pua... Akitaka kutobolewa na tundu ya huko nyuma! Nipo aniite! Nachoronga hizo tundu Barrabara kabisa!
Hehehe watu mna maneno eti una choronga hizo tundu dah hahaha kwani mpo mgodini.
 
kusuka na kupaka rangi kucha, hakuna yenye afadhali!... Vyote halua halua!

Wavulana wa kileo kufanya vitu vya wadada imekuwa kawaida na inaonekana fasheni!

Atoboe na pua... Akitaka kutobolewa na tundu ya huko nyuma! Nipo aniite! Nachoronga hizo tundu Barrabara kabisa!

Bro ukimtamani mwanaume mwenzio na wewe ni kundi moja tu. Mimi napenda wanawake wananukia vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom