Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 850
- 788
Kunduchi Salasala, maji yana rangi ya tope! Tumewauliza DAWASA mara kadhaa, hatupati jibu! Tatizo ni nini?
Je, maji hayo ni salama kwa afya zetu?
Je, maji hayo ni salama kwa afya zetu?
Kunduchi Salasala, maji yana rangi ya tope! Tumewauliza DAWASA mara kadhaa, hatupati jibu! Tatizo ni nini?
Je, maji hayo ni salama kwa afya zetu?
Labda ni DAWASCO iliyoboreshwa!Mmewekewa na kahawa.Kunduchi Salasala, maji yana rangi ya tope! Tumewauliza DAWASA mara kadhaa, hatupati jibu! Tatizo ni nini?
Je, maji hayo ni salama kwa afya zetu?
Ni tatizo la muda mrefu. wala siyo juzi tu!Walizima mtambo tar 5 hadi 7 wameuwasha hivyo lazima upate maji ya tope wakipush maji kwa pump.