Ndugu. Mungu ni mwema. Wengine wananitukana na nilitegemea pia hasa wale niluokomaa wanarudi kivingine kunikejeli. Ila ninamshukuru Mungu 99% ni wema mmenipa mawaidha mazuri sana mbarikiwe wote.Maneno kuntu hayo. Mungu aone hitaji la moyo wako
Asante sana Danny Massawe. Na iwe kama ulivyotamka.Nakuombea upate jembe la ukweli
wanawake wa dar bwana,bora tu haunifahamu,ila kifupi wewe kunifikia mimi kwa lolote najua haiwezekani,labda umenizidi tu huo uajuza,unawatia aibu wanao kiufupi,naona aibu kujua bado kuna maajuza kama wewe wanatafuta mabwana mitandaoni,ni aibu kiukweli,aibu saaana...hata ndugu zako wakikubaini wanaweza hata wakakufuta ukoo,au umeungua nini unataka uwapake viumbe wa watu wasio na hatia kwa umala...wako,umefeli sana aisee!Marioooo mkubwa kabisa. Hunitishi kwa lolote. Uhuru hayati baba wa Taifa alituletea. Endelea kutoa povu kana cobra tu. Umekosea njia. Mimi siyo size yako in every angle. Fuka tena matusi yote duniani. Ndiyo ulivyolelewa. Siyo kosa lako. Keep it up maaaaan.
Lugha ngumu mkubwa hii. Tafsiri yahitajika.
Naona hutaki porojo kwenye uzi wako, upo makini dada. Usisahau mrejesho dada yangu. Patience123 tumeharibu uzi wa dada yetu.Mkuu nini tena hii lugha? Nasubiri rafsiri.
Atuwie radhi dada yetu Loeli .Naona hutaki porojo kwenye uzi wako, upo makini dada. Usisahau mrejesho dada yangu. Patience123 tumeharibu uzi wa dada yetu.
Sawa that's good na jibu lako liko general kiutu uzima. Binafsi I am now at peace with my wife japo hatujapishana umri.Wakiwa na umri Mdogo ni shida kwa kweli same age. Kwa umri mkubwa stages nyingi challenging kwa ndoa au mahusiano zimeshapita hivyo inakuwa haisumbui sana. Ndiyo maana mimi nimeanzia 47 ila ninapenda japo from 48. Ila pia wengine hawajali ndiyo maana wengine wanaruhusu waume underage kiru ambacho kwangu ni changamoto.
Tutarudia kwingine mtani, hatuwezi kuacha kabisa...ntakufwaa!!
Mkuu mbona kama una chuki???? Kwani ajuza hana haki ya kuwa na mwenza.... Pia kwa kuwa lipo kibinafsi just mwachie mlengwa... Let it be my friend usijitafutie laana kwa machozi ya wana wa Mungu... Ni ushauri tu ukipenda nitukane na mimi ili chain iwe ndefu zaidi....wanawake wa dar bwana,bora tu haunifahamu,ila kifupi wewe kunifikia mimi kwa lolote najua haiwezekani,labda umenizidi tu huo uajuza,unawatia aibu wanao kiufupi,naona aibu kujua bado kuna maajuza kama wewe wanatafuta mabwana mitandaoni,ni aibu kiukweli,aibu saaana...hata ndugu zako wakikubaini wanaweza hata wakakufuta ukoo,au umeungua nini unataka uwapake viumbe wa watu wasio na hatia kwa umala...wako,umefeli sana aisee!
Mbona unaendeleza 'porojo' kwenye uzi wa dada? Tuhamie kwingine bhana.Tutarudia kwingine mtani, hatuwezi kuacha kabisa...ntakufwaa!!
Naona hutaki porojo kwenye uzi wako, upo makini dada. Usisahau mrejesho dada yangu. Patience123 tumeharibu uzi wa dada yetu.