supermwamba
Member
- Mar 11, 2024
- 38
- 31
Natafuta dada au mama yeyote awe na watoto au la. Awe anajiheshimu na kujua majukumu ya kumtunza mme. Umri wowote mpaka miaka 35.
Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia maendeleo ya maisha Yetu.
Asiwe mshirikina, awe nahofu ya Mungu.
Mimi ni kati ya .wafanya biashara wakubwa hapa Dar.
Umri wangu ni miaka 50. Niko Dar. Napenda kumcha Mungu.
Karibu. Ni pm.
Awe anajiweza kiuchumi sitaki wakuja kulialia bila kuchangia maendeleo ya maisha Yetu.
Asiwe mshirikina, awe nahofu ya Mungu.
Mimi ni kati ya .wafanya biashara wakubwa hapa Dar.
Umri wangu ni miaka 50. Niko Dar. Napenda kumcha Mungu.
Karibu. Ni pm.