BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Mi nilishawah kufokewa laivu na mabroo wa shemeji yenu, almanusura wanichape makofi, sijui wanawazaga nini, bt hata mimi naumiaga kimtindo nikiona kajamaa kanakuja kwa dogo tena mpaka home.
mtapata ugonjwa wa moyo mkiwa vitoto...sasa mchicha umeotea juu ya kaburi...wewe wa kazi gani?
mwanafunzi hujambo?