Habari zenu humu Jamvini.
Mbona mi nikimwona dada yangu au mdogo wangu wa kike na mwanaume/boyfriend wake moyo unauma?yaani nahisi kama atakuja kutendwa au kuharibiwa malengo yake,halafu mi nikifukuzia dada za watu naona iki poa tu,hivi na nye mnaumia mnapoona dada zenu au wadogo zenu wa kike na boyfriend zao?
Halafu nye wadada mkiwaona kaka zenu na girlfriends zao mnawaonea huruma kuhofia watakuja kutendwa?
Kuna hatari mvulana mmoja akaja kugawa cha kopo... Chungeni sana aloo!
Nyie vumilien tu maana waweza leta ubabe kwa shem wako kumbe yuko fresh ukachezea kichapo na dada yako akachukuliwa vilele lol!teh teh we acha tu,tunapenda tuwafanyie wengine ila tukifanyiwa sisi inauma
teh teh teh mi siwafanyagi kitu halafu naogopa kuwatenda mana sitaki kuwaumiza
Kama ni hivyo basi sie ambao hatuna dada tumebahatika.
Mdogo/mtoto wa kike anauma sana, ila wa kiume unamuona jembe tu acha lilime.
Habari zenu humu Jamvini.
Mbona mi nikimwona dada yangu au mdogo wangu wa kike na mwanaume/boyfriend wake moyo unauma?yaani nahisi kama atakuja kutendwa au kuharibiwa malengo yake,halafu mi nikifukuzia dada za watu naona iki poa tu,hivi na nye mnaumia mnapoona dada zenu au wadogo zenu wa kike na boyfriend zao?
Halafu nye wadada mkiwaona kaka zenu na girlfriends zao mnawaonea huruma kuhofia watakuja kutendwa?
Mi nilishawah kufokewa laivu na mabroo wa shemeji yenu, almanusura wanichape makofi, sijui wanawazaga nini, bt hata mimi naumiaga kimtindo nikiona kajamaa kanakuja kwa dogo tena mpaka home.
Anaogopa mkuki kwa nguruwe...huyu ni muharibifuhahahaha.... Unawafanyaga nini watoto wa wenzio hadi unakua na woga hivo? lol
ila pale anapokuja home ni kama madharau bhana
Mbona nyie hua mnaenda jaman?ila pale anapokuja home ni kama madharau bhana
Alafu shem,....................!Anaogopa mkuki kwa nguruwe...huyu ni muharibifu
Nambie shem wangu.....Alafu shem,....................!
Baba'ako mgawaji?
Ila si utampata kaushari?ili akipuuza asikulaumu