Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Habari zenu humu Jamvini.
Mbona mi nikimwona dada yangu au mdogo wangu wa kike na mwanaume/boyfriend wake moyo unauma?yaani nahisi kama atakuja kutendwa au kuharibiwa malengo yake,halafu mi nikifukuzia dada za watu naona iki poa tu,hivi na nye mnaumia mnapoona dada zenu au wadogo zenu wa kike na boyfriend zao?
Halafu nye wadada mkiwaona kaka zenu na girlfriends zao mnawaonea huruma kuhofia watakuja kutendwa?
Mbona mi nikimwona dada yangu au mdogo wangu wa kike na mwanaume/boyfriend wake moyo unauma?yaani nahisi kama atakuja kutendwa au kuharibiwa malengo yake,halafu mi nikifukuzia dada za watu naona iki poa tu,hivi na nye mnaumia mnapoona dada zenu au wadogo zenu wa kike na boyfriend zao?
Halafu nye wadada mkiwaona kaka zenu na girlfriends zao mnawaonea huruma kuhofia watakuja kutendwa?