mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 462
- 605
Ninawaheshimu sana wanawake waliopewa mimba na mtu waliempenda na kwa bahati mbaya wakaachwa na baba wa mtoto huyo. Ninawaheshimu sana wanawake hawa kwa sababu ni mtu mwenye akili timamu tu ndiye angeweza kusimama tena baada ya kuachwa na mtu ambaye alimuamini.
Ikiwa hakuna mtu ambaye amekuambia hii leo, ninajivunia sana kila kitu unachofanya kama mama pekee.
Ikiwa hakuna mtu ambaye amekuambia hii leo, ninajivunia sana kila kitu unachofanya kama mama pekee.