gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Jamani weye kaka ngoja nkwambe kitu, tatizo nilionalo kwako you are very serious and highly academic centralized than being social, nafikir ushauri wa boss na Kongosho ni mzuri kwa kuanzia. Ila pia ngoja nikupe hii hapa:-
usiende kwa mwanamke ukiwa na wazo la kukubaliwa neva, wala usiwe serious. a one night call ya kusema goodnight yatosha kukufanya kesho yake umtakie asubuhi na mchana mwema. and from there utaendelea that way hadi ufikie utakapo.
uzuri mabint wa siku hizi watacare vitu artificial zaid na wewe nenda hivyo hivyo kiartificial usianze sijui leo twende dinner lemon tree, lunch twende steers utachemsha. Hivi unajua power of flirting? kwani weye upewapo namba ya simu kazi yake ni nini? anza kuflirt naye ndio wanavyopenda hawa ma sista doo. wewe andika sms hata mia kwa siku siku moja tu ya pili utaona lazima kingi aingie. but ukienda na formula za elasticity ya steel, na angle of deflection of the building imekula kwako. kama hujui nipm nikuandikie sms wewe uwe unazifowad tu.
usiende kwa mwanamke ukiwa na wazo la kukubaliwa neva, wala usiwe serious. a one night call ya kusema goodnight yatosha kukufanya kesho yake umtakie asubuhi na mchana mwema. and from there utaendelea that way hadi ufikie utakapo.
uzuri mabint wa siku hizi watacare vitu artificial zaid na wewe nenda hivyo hivyo kiartificial usianze sijui leo twende dinner lemon tree, lunch twende steers utachemsha. Hivi unajua power of flirting? kwani weye upewapo namba ya simu kazi yake ni nini? anza kuflirt naye ndio wanavyopenda hawa ma sista doo. wewe andika sms hata mia kwa siku siku moja tu ya pili utaona lazima kingi aingie. but ukienda na formula za elasticity ya steel, na angle of deflection of the building imekula kwako. kama hujui nipm nikuandikie sms wewe uwe unazifowad tu.
Last edited by a moderator: