Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
kwa siku hizi mbili mfululizo nimekua nikipata sana mawazo ya kujiua kila ikitokea nafasi ya kuweza kujiua nawaza kujiua
Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?
NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?
Jana nilikua nimepakia kwenye gari natokea masafa marefu na milango haikua imelokiwa,, kwahiyo kila wakati wazo linanijia kuwa nifungue mlango na kujitupa katikati ya barabara wakati gari lipo kwenye speed ya juu,, na leo tena mawazo hayo yameniandama siku nzima,, nikaamua kuwashirikisha dada zangu wakaniuliza kama nina kitu kinani depress lakini sioni kama nina jambo lolote linalo ni depress i feel fine,, am happy lakini sijui kwanini kila wakati napata kishawishi cha kujiua.... kiukweli nakosa raha kwa sababu ya hali hii leo nusura nifungue mlango wa gari wakati ipo kwenye kasi ya ajabu barabarani
Naombeni mnisaidie hili ni tatizo la kiakili ama ni nini?? ninahitaji kupatiwa tiba yoyote ya hospitali?
NB hii hali hiko nyuma ilishawahi kunitokea mara kadhaa ila nikaweza kujikaza na kuishinda nilisali na kuombewa lakini kwa sasa naona imekuja kwa nguvu zaidi..kusali ninaendelea ila najiuliza kwa nini linanijia?