Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 794
- 1,030
Nawasalimu kwa salami pendwaaa,jibu NI kazi
Iko hivi Kuna watu walipendana sàana,huku na huko wakamwita shekhee,akachoma ubani,ndoa ikafungwaaa.
Ndoa ikawajibu jamani wakapata watoto wawili.
Sasa huyo mume NI mshika chaki na mke NI mshika chaki,jamoooon mnanielewaa!
Sasa Kama mnavyojua Tena kuishi wawili lazima mkosane,mnuniane,mgombane,mtukanane,yaani hivyo coz hata majembe hugongana shambani wakati wa kulimaaaa.
Sasa Mambo yakawa meeengi zaidi ni mume ndo mfanya vituko,na dharau kwa mkewe.
Sasa Kuna kitu alimfanyia mkewe cha kumdhalilisha Hadi wazazi wa mwanamke wakamwambia ukirudiana na MUMEO kwa hiki alichokifanya tunakupa radhi.
BAASI yule mwanamke baada ya tukio lile akaenda kupanga yeye,na watoto wake na hausigeli.
Mpoooooo,au mmelalaaaa?
Kila wikendi yule bwana anaenda kuwaona watoto kule alikopanga mtalaka wake,kumbuka Hapo talaka ilishatolewa kwa hiyo ni kuwalea tu watoto Basi.
Narudiii ngoja nilie kwanza
Iko hivi Kuna watu walipendana sàana,huku na huko wakamwita shekhee,akachoma ubani,ndoa ikafungwaaa.
Ndoa ikawajibu jamani wakapata watoto wawili.
Sasa huyo mume NI mshika chaki na mke NI mshika chaki,jamoooon mnanielewaa!
Sasa Kama mnavyojua Tena kuishi wawili lazima mkosane,mnuniane,mgombane,mtukanane,yaani hivyo coz hata majembe hugongana shambani wakati wa kulimaaaa.
Sasa Mambo yakawa meeengi zaidi ni mume ndo mfanya vituko,na dharau kwa mkewe.
Sasa Kuna kitu alimfanyia mkewe cha kumdhalilisha Hadi wazazi wa mwanamke wakamwambia ukirudiana na MUMEO kwa hiki alichokifanya tunakupa radhi.
BAASI yule mwanamke baada ya tukio lile akaenda kupanga yeye,na watoto wake na hausigeli.
Mpoooooo,au mmelalaaaa?
Kila wikendi yule bwana anaenda kuwaona watoto kule alikopanga mtalaka wake,kumbuka Hapo talaka ilishatolewa kwa hiyo ni kuwalea tu watoto Basi.
Narudiii ngoja nilie kwanza