Itakuwa vigumu kubaini ni kwanini wakimbiwa, lakini may be ungeomba hao wadada waliokukimbia wakupe sababu zao ni kwanini waliamua hivyo na hapo unawezapata hint. Inawezekana ikasababishwa na vitu vingi sana na vilevile kuna vitu vidogo sana ambavyo wewe unaweza ukavioverlook ukaona ni ok, lakini kwa wanawake vikawa ni big deal. Umesema wewe ni attorney, hela unazo, na umtananashati etc.
Yawezakuwa labda ulikimbiwa sababu ya usafi, kauli zako, attitude etc.
Mke mi hapa, hata mi cjawah guswa.
Umri wako ni wa kufunga ndoa! Tafuta mke uoe, kwishney!
Mkuu Mvua ya Kiangazi hata uctaman hako ka mchezo, TUTAKUTOA KA'BIKIRA KAKO, SISI WANAUME USITUPIME! Bora ubaki na Ukama wako, kitunze!
Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini..............naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...
Pole sana dada. Kuna mambo mengi sana kwenye mahusiano ya msichana na mvulana. Katika mazingira ya DINI hamtakiwi kufanya MAPENZI KABLA YA NDOA. Lakini katika mazingira halisi ya maisha ya KISASA, KU DU NI (ALMOST) LAZIMA. Hali halisi ni kuwa kila mmoja angependa kujaribu aone radha na mambo mengine asije kuchukua MATATIZO. Kumbuka ukipata kimeo katika ndoa kinakuwa chako kwa maisha yako YOTE. Jambo la msingi ni kuenda na mtindo wa maisha (life style). Wenzako wanaachia, nawe achia. Ndiyo hali halisi. Ofcourse kukaa miaka 30 bila kufanya pia ni UNUSUAL ingawa bado hujachelewa sana.
Kwa sasa jaribu kuwa karibu na mtu unayevutiwa naye ili apate nafasi ya yeye kukuanza then mambo yaendelee. Jaribu sana kujishusha, kuongeza upendo kwa wasichana wenzako na wavulana ili watu wavutiwe nawe. Ningekuwa nimekutana nawe ningejua tabia yako (how reactive are you). Kwa sasa jitahidi sana kujirekebisha nafsini mwako. Mungu ni wa wote utaolewa.
Una UHAKIKA wewe ni rijali???Nauliza tu maana thread inaonyesha sio!Au labda mimi ndo sijui maana....Mzalendo nadhani kuna mistake of fact kidogo,mimi ni kidume,rijali.................
Una UHAKIKA wewe ni rijali???Nauliza tu maana thread inaonyesha sio!Au labda mimi ndo sijui maana....
Yani we unamaliza mambo ndotoni?!Ngoja siku mrembo akushinde!!Tafuta mke ili usizini na kabla bikra haijaexpire!Lizzie,nina uhakika,coz nonino inasimama na misuli yote inaonekana,istoshe nina shuka(bedsheet)nyingi kuliko nguo za kawaida,maana msimu wa wet drimz ukianza ni balaa.................