Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Wameonaje wakati hajaduu nao?Mkuu labda unakamguu ka mtoto!!lazima wasepe!
Wameonaje wakati hajaduu nao?Mkuu labda unakamguu ka mtoto!!lazima wasepe!
Pole sana. kaka yangu mpendwa
alaaa kumbe ndo maana,yule bint alinigusa kisha akatabasamu na kulembua....jogoo halipandi mtungi. Sie mabinti wajanja sana, huwa tunafanya visa ili mradi nikuguse uume wako ili nicheki sizi. Huenda wanawake wako walikushika nawe hukushtuka chini hata kidogo.
Nazjaz ameshajibu swali hili.Wameonaje wakati hajaduu nao?
M-pm mmalizane..
Akikitunza sana kitaoza, mende watakula!Endelea kuihifadhi....sio ugonjwa huo!
Mwanaume mwenzio huyo!!Unless umeona kasema sehemu yeye ni lez girl!Mkuu Mvua ya Kiangazi hata uctaman hako ka mchezo, TUTAKUTOA KA'BIKIRA KAKO, SISI WANAUME USITUPIME! Bora ubaki na Ukama wako, kitunze!
Mke mi hapa, hata mi cjawah guswa.
Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini..............naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...