Nina miaka 27, bado nina ndoto ya kuwa Daktari (Médical Doctor)

Hahaah Mambo Ya BS na Chand ,understanding Chem, Princple.. Kwa mwaka mmoja tena QT Halafu hajasoma kwa miaka 10

Mzee 🤣🤣🤣 astick na dip tu maana atakachokutana nacho Mungu ndo anajua 😅😅
Na uwezo wa mtu unajidhihirisha tu.

Form 4 alipata Div 3. Unategemea Advance tena PCB ang'ooke?

Wanaaomshauri apige QT wanampoteza. Advance ule ni mziki mwingine.

Mimi ni Daktari kwa sasa, ila elimu ambayo ninaipa salute ni ya form 5&6. Miaka miwili yenye vitu vingi sana.

Mkuu, usidanganyike. Utachora 0. Miaka 10, ujiandae kwa miezi sita ufanye mtihani wa form 6? Usipoteze muda Mkuu.

Nini haswa kinakuvutia kwenye Udaktari? Kama ni kuhudumia watu wapone, hata Tabibu (CO) anafanya hivyo. Soma Diploma ya Clinical Medicine miaka mitatu.
 
Kombi yoyote yenye P iheshimiwe tu. Jamaa yangu alipiga 1.8 pale Tanga Tech na kwenye PCM kanyoosha A tatu. Form six Ilboru akagonga div III. Mwingine one ya 9 form form four ila div 4 form 6. Bahati nzuri wale walikuwa ni vipanga wakaamua kwenda Diploma DIT mambo ya maabara. Walinyoosha vibaya hadi wakamaliza degree zao kwasasa wote wako kwenye green pastures.
Ndo maana nakwambia mnaomshauri Dogo akapige PCB hamko sawa kabisa na sijui lengo lenu kumtundika kijana wa watu 🤣🤣

Tena mtoto ana miaka 10 hajaingia Darasani mnamwambia aende kupiga PCB 🤣🤣🤣 hamna mema nyinyi...
 
Diploma ya Clinical medicine nayo sio mchezo.hata waliopata div II au I inawatesa balaa,wengi Wana sup .na wengene wanasoma mpaka miaka 5 badala ya miaka 3.pia ada zipo juu+hostel+chakula,haipungui 3.5M Kwa Mwaka
Kwasasa hiyo kozi sio ngumu mazingira ya kusoma ni rahisi na mtaala wao wamepanuliwa goli ushindwe wewe tu.

Kitu pekee kwao kitawatesa ni GPA kufaulu ni rahisi mno ila wengi wanapata GPA za kawaida.
 
Na uwezo wa mtu unajidhihirisha tu.

Form 4 alipata Div 3. Unategemea Advance tena PCB ang'ooke?

Wanaaomshauri apige QT wanampoteza. Advance ule ni mziki mwingine.

Mimi ni Daktari kwa sasa, ila elimu ambayo ninaipa salute ni ya form 5&6. Miaka miwili yenye vitu vingi sana.

Mkuu, usidanganyike. Utachora 0. Miaka 10, ujiandae kwa miezi sita ufanye mtihani wa form 6? Usipoteze muda Mkuu.

Nini haswa kinakuvutia kwenye Udaktari? Kama ni kuhudumia watu wapone, hata Tabibu (CO) anafanya hivyo. Soma Diploma ya Clinical Medicine miaka mitatu.
Na ndo nikichomshauri, Dip ya CO haina ugumu sana..Ila PCB 🤣🤣 mnataka kumpoteza Dogo...
Me ni Daktari pia japo kuna Msuli wa Medicine lakini bado naona elimu Ngumu maisha yangu yote ni PCB 🤣🤣🤣
 
Ndo maana nakwambia mnaomshauri Dogo akapige PCB hamko sawa kabisa na sijui lengo lenu kumtundika kijana wa watu 🤣🤣

Tena mtoto ana miaka 10 hajaingia Darasani mnamwambia aende kupiga PCB 🤣🤣🤣 hamna mema nyinyi...
Kweli PCB=Physics+Chemistry+Biology+Mathematics+GS
Bora PCM. ,PCB habari nyingine🤣🤣🤣🤣🤣💺
 
Na ndo nikichomshauri, Dip ya CO haina ugumu sana..Ila PCB 🤣🤣 mnataka kumpoteza Dogo...
Me ni Daktari pia japo kuna Msuli wa Medicine lakini bado naona elimu Ngumu maisha yangu yote ni PCB 🤣🤣🤣
Kwa Sasa vijana wanapata sana div 1-3 PCB, angalia hata matokeo ya kidato cha 6 mwaka huu.
 
Kwa Sasa vijana wanapata sana div 1-3 PCB, angalia hata matokeo ya kidato cha 6 mwaka huu.
Hao wanaopata hivyo angalia shule wanazotoka na umri wao..

Ratiba zao kula+kusoma+kulala
Hawawazi chochote,sio kodi,sio kula nk hapo unadhani watakosa kufaulu? Shule zina shindana kufundisha na kujitangaza miundombinu safi na kila kiti kipo.
 
Kwa Sasa vijana wanapata sana div 1-3 PCB, angalia hata matokeo ya kidato cha 6 mwaka huu.
Tatizo kilichoniogopesha ni Miaka ya kuwa mbali na Shule mkuu Miaka 10 sio mchezo na kingine Matokeo ya Olevel div 3 plus Miaka 10 out of Game..

Mkuu kwa mimi ntaendele kusema Asijaribu
 
Kwa Sasa vijana wanapata sana div 1-3 PCB, angalia hata matokeo ya kidato cha 6 mwaka huu.
Ipo hv kwa mfano kwenye wanafunz 100.
20---one
25---two
55---three ( tena three za 16 na 17)
Kumbuka hawa walitoka O level direct na div 1 na 2 bac.
Sasa mtu wa div 3 O level ataenda wap?? Na mbaya zaidi yupo nnje ya elimu miaka 10 sasa??
 
Kinacholeta shida form 4 alipiga 3. Yaani matumaini ya huyu dogo kumudu PCB ni madogo sana.
Kwa Miaka ya 2013 hasa shule zile za Kata mtu Akipigwa division 3 huyo kichwa kweli unakuta shule nzima wapo watatu au watano mfano 2014 shule yetu Ngoreme secondary walifaulu wanafunzi 10 (ones to three) Darasani wapo zaidi ya 90,,,, coz unakuta mtu anasoma kwa life gumu hakuna Twition Wala walimu wa kufundisha kwaiy kutoboa unakuta kipengere kweli anakomaa mwenyew. Kuliko mnjin ambapo unakuta mtoto ana Kila kitu ndo maana inakua Rahisi kufaulu.

Ila kwa Miaka ya saivi kuanzia 2020..... Form four imekua kama La Saba tu mtoto anae zingua Form 4 huyo kweli Hana akili Yani ni bumunda kweli,, ndo maana mtu unakuta amepata division 1 lakin kichwan hamna kitu kabisa tofouti na Elimu ya zamani ambapo mtu akifaulu means kupata division 1-3 huyo ni kichwa kweli lakin Leo watoto wanamaliza secondry lakin kichwan ni empty mno. Hadi degree na kwenyewe saivi imekua mdobwedo nilishangaa sana Kuna mdada alimaliza pale Udsm education lakin Cha ajabu yule demu kichwan hamna kitu kabisa binafsi nikwa najiuliza hivi huyo ndo anaenda kufundisha secondary kwa akili mbovu kiasi kile. Kwa kweli Elim ya Tz kadri siku zinavyo zidi kwenda ile Thamani yake inaisha kabisa Bora nchi za wenzetu ukiwa na Hela chukua mtoto mpeleke nje huko. Apate Elimu Bora huko anakua na exposure ya Maisha. Kuliko Huku Bongo.
 
Kwa Miaka ya 2013 hasa shule zile za Kata mtu Akipigwa division 3 huyo kichwa kweli unakuta shule nzima wapo watatu au watano coz unakuta mtu anasoma kwa life gumu hakuna Twition Wala walimu kwaiy kutoboa unakuta kipengere kweli. Kuliko mnjin ambapo unakuta mtoto ana Kila kitu ndo maana inakua Rahisi kufaulu.

Ila kwa Miaka ya saivi kuanzia 2020..... Form four imekua kama La Saba tu mtoto anae zingua Form 4 huyo kweli Hana akili Yani ni bumunda kweli,, ndo maana mtu unakuta amepata division 1 lakin kichwan hamna kitu kabisa tofouti na Elimu ya zamani ambapo mtu akifaulu means kupata division 1-3 huyo ni kichwa kweli lakin Leo watoto wanamaliza secondry lakin kichwan ni empty mno. Hadi degree na kwenyewe saivi imekua mdobwedo nilishangaa sana Kuna mdada alimaliza pale Udsm education lakin Cha ajabu yule demu kichwan hamna kitu kabisa binafsi nikwa najiuliza hivi huyo ndo anaenda kufundisha secondary kwa akili mbovu kiasi kile. Kwa kweli Elim kadri siku zinavyo zaidi kwenda ile Thamani yake inaisha kabisa Bora nchi za wenzetu ukiwa na Hela chukua mtoto mpeleke nje huko. Apate Elimu Bora
Unaongea nadharia mwanafunzi kilaza ambaye hasomi na Hana juhudi hawezi kuipata hiyo one .
 
Kumbe sipo peke angu aisee.. nilimaliza form six pcb 2017 nikala viv 2 ya point 12 nikiwa na physics D, chemistry C na biology E kwa shinikizo la kutoka familia duni kuhofia kukosa mkopo na competition iliyokuepo mwaka wetu kwny kozi za afya nikajikuta nasomea ualim wa physics na chemistry japo ndoto zangu ilkua MD, binafsi kuna muda nataman sana nirud kufukuzia ndoto zangu ila majukum na tushaanza kishika vi miambili miatatu inakua ni ngum jurud shulen
 
Diploma ya Clinical medicine nayo sio mchezo.hata waliopata div II au I inawatesa balaa,wengi Wana sup .na wengene wanasoma mpaka miaka 5 badala ya miaka 3.pia ada zipo juu+hostel+chakula,haipungui 3.5M Kwa Mwaka
Diploma za afya zingekua kama diploma zingne hakuna mambo ya uniform na unaeza kusoma huku unajimbiza mbanga zako zingne wengi tungerud diploma
 
Back
Top Bottom