Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
"kuchua progra" , ndio kufanyaje!!???Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
nilivokuja mbio nitoe ushauri kumbe ni english ndio inakusumbua khaaa hatari sana..Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
Mamndenyi!!Nini unataka kwani
au ndo picha za kimama na baba?
Kwani unahitaji nini?nikanunuwe ki2 gani?
Kanunue azam cola!nikanunuwe ki2 gani?
Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
Nini unataka kwani
au ndo picha za kimama na baba?