The bump
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,136
- 1,952
Naombeni msaada ndugu zangu wa Mafundi wazuri wanaoweza kazi kwa bei nafuuu kabisa.
Nyumba imeisha ila bado blandering, nyumba imepigwa plasta nnje na ndani ila bado haijafanyiwa skiming wala rangi.
Nahitaji Fundi wa skiming na rangi kisha Blandering na Gypsum au Ceiling Board.
Naomba Mnisaidie kati ya Gypsum na Ceiling Board ipi nzuri maana gypsum naona bei sawa na ceiling,wajuzi wa ubora na uzuri tafadhali.
Pia nipate Fundi wa kuniwekea madirisha nyavu nimeweka tu Ma grill ila hela ya kuweka Aluminium sina nimeona niweke tu nyavu naomba fundi wa kunisaidia hiyo kazi pia ili niweze Hamia eneo la tukio.
Nimeona madirisha mengi mazuri yamewekwa wavu tu na grill kwa ndani yamekaa vizuri sana yanavutia nadhani kwa kuanzia yanatosha.
AINA YA MAFUNDI NAOMBA MNISAIDIE NAO :
Sina hela jamani uwezo wangu kiuchumi ni mdogo.
Mafundi wakuniambia blandering tunapga kwa skwea mita siwataki.
mafundi wakuniambia tuna skim kwa skwea mita siwataki.
Kama Mtu anawajua mafundi Profeshinooo wa majumba ya UNUNIO hao siwataki sio levo zangu.
Nawahitaji mafundi MAIKO wanaojua kazi zao kwa levo za kiprofeshino.
Mimi ni Maskini kwahiyo naombeni mafundi wanaoendana na hali yangu hii sio nyumba ni Kibanda kama maboss wa JF mnavyopenda kuita vijumba vya hivi.
Msaada wenu tafadhali... Nyumba Ipo MLANDIZI fundi nitakugharamia NAULI tokea Mlandizi hadi SITE ila kutoka unapotoka hadi MLANDIZI gharama nauli ni juu yako.
Fundi akipatikana Leo Leo Leo tunaenda kuanza kazi
Vifaa vyote VIPO ni mafundi tu Hamna bado.
Nyumba imeisha ila bado blandering, nyumba imepigwa plasta nnje na ndani ila bado haijafanyiwa skiming wala rangi.
Nahitaji Fundi wa skiming na rangi kisha Blandering na Gypsum au Ceiling Board.
Naomba Mnisaidie kati ya Gypsum na Ceiling Board ipi nzuri maana gypsum naona bei sawa na ceiling,wajuzi wa ubora na uzuri tafadhali.
Pia nipate Fundi wa kuniwekea madirisha nyavu nimeweka tu Ma grill ila hela ya kuweka Aluminium sina nimeona niweke tu nyavu naomba fundi wa kunisaidia hiyo kazi pia ili niweze Hamia eneo la tukio.
Nimeona madirisha mengi mazuri yamewekwa wavu tu na grill kwa ndani yamekaa vizuri sana yanavutia nadhani kwa kuanzia yanatosha.
AINA YA MAFUNDI NAOMBA MNISAIDIE NAO :
Sina hela jamani uwezo wangu kiuchumi ni mdogo.
Mafundi wakuniambia blandering tunapga kwa skwea mita siwataki.
mafundi wakuniambia tuna skim kwa skwea mita siwataki.
Kama Mtu anawajua mafundi Profeshinooo wa majumba ya UNUNIO hao siwataki sio levo zangu.
Nawahitaji mafundi MAIKO wanaojua kazi zao kwa levo za kiprofeshino.
Mimi ni Maskini kwahiyo naombeni mafundi wanaoendana na hali yangu hii sio nyumba ni Kibanda kama maboss wa JF mnavyopenda kuita vijumba vya hivi.
Msaada wenu tafadhali... Nyumba Ipo MLANDIZI fundi nitakugharamia NAULI tokea Mlandizi hadi SITE ila kutoka unapotoka hadi MLANDIZI gharama nauli ni juu yako.
Fundi akipatikana Leo Leo Leo tunaenda kuanza kazi
Vifaa vyote VIPO ni mafundi tu Hamna bado.