Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
unakunywa kinywaji gani vile?
Hizi ofa za upendeleo haya bana
unakunywa kinywaji gani vile?
Mie mwanaume hanipigi aisee kama hunitaki si uachane na mimi kwani lazima kuishi na wewe eti UNIPIGE?? Kwanza anaanzaje kunyoosha hicho kimkono chake?? Ashindwe na alegee
kama kukudunda akiamua unapigka vzr tu. cku hz ndoa hzikimbiwi au vp namshauri aende dojo au gym atie zoez mme akizingua tu anamtunishia misul mme atatulia tu
Huyo dada alianza kupigwa hata kabla ya ndoa, lakini akakubali kuolewa na vipigo vyake! Mwache mwenzio na ndoa yake!! Ningekuwa mimi ningemwambia asinisimulie tena, maana hakuna maana ya kusimulia!