Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,570
- 19,452
Lakini nilisoma kuwa Mkono Advocates ndio walioitetetea benki Kuu katika kesi ile, wakati Mabere Marandu na Ringo Tenga walimtetea Vhalambia. Je kuna kosa gani kusema kuwa ni kweli aliitetea BoT na malipo aliyopewa yalikuwa ni chini ya makubaliano baina ya kampuni yake na BoT?
Kwanza nilikuwa sijui kama huyo Valambia alishafariki, je kuna anayejua alifariki kwa kitu gani?
Kwanza nilikuwa sijui kama huyo Valambia alishafariki, je kuna anayejua alifariki kwa kitu gani?