Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
He's one of the People who own shares in the company.
huyu nae fisadi.. alafu yupo Power Pool.. Tenga jambazi mpare yule.trust me.
"Najua kuna watu wanashinikiza hili kwa maslahi yao binafsi, tunawajua, lakini msimamo ni kwamba, I can't do that (siwezi kufanya hivyo)," alisisitiza gavana.
Swali ni kwamba hao wanao sisitiza BOT imlipe Valambia US 60 Mil wanainterest gani kwenye hiyo kesi na ni wa kina nani hasa hii inapaswa kueleweka wazi wazi.Kwa kuwa kampuni iliyosupply hayo magari jeshini ni kampuni ya Valambia na kama kudai wanadai wao kwa kazi walioifanya hao wengine kinawahusu nini.Sasa hawa wengine wanaoishinikiza serikali ilipe interest yao ni nini hasa?
Au ndio wale wale wamaotaka kushinikiza malipo halafu wapate chajuu kwa kufanikisha deni kulipwa.Watanzania bwana ni watu wa ajabu kweli kweli,ubinafsi ndio uliowajaa wengi.Hapa kinachogomba ni maslahi ya watu binafsi, maskini Valambia wa watu amesota wee mpaka akapoteza uhai kwa kufuatilia deni lake.
Huku nyuma watu wanashinikiza deni lilipwe ili nao wafaidi huu nao ni ufisadi wa aina yake.Ingekuwa vizuri kama Gavana wa BOT akiweka majina ya hao wanaoweka shinikizo hadharani ili jamii iwatambue.
Mkono Fisadi kwelikweli hivi njia gani itatumika kuwafilisi watu kama hawa