haibreus
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 295
- 106
FUKUZA DADA YAKE Ili ajue ubaya wa umbeya! na wewe ukome,ila hapo unaposema unapigwa inanitisha kabisa du!kwa hiy6o mzee unachezea kichapo??nimfanyeje shemeji yangu maana yeye ndiye aliyekwenda kumuambia dada yake