GodfreyTajiri
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 986
- 655
mbona jibu unalo tayari?
wewe unakwenda kununua service kila mara
hivyo mdada anajua wewe unaomshiko wa nguvu
hivyo anataka akunase msaidiane kula huo mshiko.
kama huamini basi nawe siku mmoja nenda kisha umsifu
kama alivyokusifia umwambie "amependeza kama anakuja
kuolewa nawe" uone jinsi unavyotakiwa ku-react ukiambiwa hivyo-
wewe unakwenda kununua service kila mara
hivyo mdada anajua wewe unaomshiko wa nguvu
hivyo anataka akunase msaidiane kula huo mshiko.
kama huamini basi nawe siku mmoja nenda kisha umsifu
kama alivyokusifia umwambie "amependeza kama anakuja
kuolewa nawe" uone jinsi unavyotakiwa ku-react ukiambiwa hivyo-