MartinDavid
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 874
- 144
Fanya kile ambacho moyo wako unatakakufanya ila usije kujutia..... KUwa wewe kama wewe na toa maamuzi....
Pia siyo vibaya kukaa naye mahali na kuongea kujua nini msimamo wake kwako.. then kuanzia hapo utapambanua kaka..
Pia siyo vibaya kukaa naye mahali na kuongea kujua nini msimamo wake kwako.. then kuanzia hapo utapambanua kaka..