utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 213
- 7
Unaweza ukaita ni umalaya ,......!Lakini kikubwa hapo ni ubinadamu ,kinachotakiwa ni kukwepa mazingira yanayoweza kuwafikisha hapo!Hawa ni mazingira yaliwapeleka hapo ,ila cha kushangaza aliyeleta habari hii hajaomba ushauri...nafikiri ameleta ..habari,na kwake yaelekea ni nzuri.