Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,767
- 14,679
Mnashangaa nini? Kuna babu kule Loliondo anatibu kisukari, ukimwi, shinikizo la moyo, na magonjwa mengine mengi tu kwa miujiza.
We nawe bogus
Mnashangaa nini? Kuna babu kule Loliondo anatibu kisukari, ukimwi, shinikizo la moyo, na magonjwa mengine mengi tu kwa miujiza.
Wana JF, hivi karibuni nikiwa katika matembezi katika mitaa ya jiji la Frankfurt nchini Germany, nimekutana na muujiza ambao hadi leo nashindwa kuelewa ni nini kilichokuwa kinatendeka. Niliwakuta watu wawili wa asili ya kiarabu wakiwa wamebebana kwa njia ya ajabu kama inavyoonekana katika picha. Walikuwa wamekaa hivyo kwa muda mrefu bila kuonyesha dalili ya kuchoka au kutumia nguvu. Niliweza kuhakikisha wote wawili walikuwa ni bnadamu hai na sio picha wala sanamu. Walifanya hivi ili kujipatia chochote toka kwa watu.
Kuna mtu anaelewa hili?
Mhhh mi,eangalia pic mimeshindwa kuelewa kwa kweli......ni ajambu naweza sema