hengo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 402
- 50
Tatizo umepanda ndege kuja kugombea ubunge, huwezi changuliwa hivyo! lazima wananchi waone nini unawafanyia wananchi lasivyo mambo yakushikwa mkono na kupewa uongozi yamkini bado yako ccm lakini taratibu nao wanaanza kuona samli inayeyuka....angalia na usidhani kujibizana hoja jf ndio kuimarika kisiasa....nchi inahitaji viongozi sio watawala.
Mkuu hongera kwa kuthubutu na bila shaka umejitathimini nafasi yako mbele ya macho na miyo ya watu.Kama unahisi kunasehemu hakuenenda sawa palekebishe,pia kama kura hazikutosha tu katika mgawanyo usikate tamaa next time you can win and we assure you that we will be with you while you have something or you have not.
Don`t loose hope my Brooo.