Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
King'asti mzima weye? Kaka yetu Paw leo umemfungia wapi?Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
King'asti mzima weye? Kaka yetu Paw leo umemfungia wapi?Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
Natamani kureport abuse kwenye haka kapost kako hapa!Kama Rejao n wifi yako hesabu KEKUNDU!
Bora umwambie..but umesahau neno wa Ukweee hapo mwisho!!Ni kaka lakini wa tumbo tofauti
KAPIPI nilikumic sana! I thank God kifungo kimekwisha njema!
Hata mie nilimiss kuitwa Kapipi....lol!! Pole sana braza, naona ndo wanatuongezea kasi zaidi! Alafu bana pande hizi huku za kwetu naskia kuna makamanda waukweli.......SUGU & TUNDU LISSU, bahati mbaya mie afya hairuhusu ningeenda kuwacheck aisee!!
Natamani kureport abuse kwenye haka kapost kako hapa!
Bora umwambie..but umesahau neno wa Ukweee hapo mwisho!!
Dah! Siamini kama natoswa hivi hiv tena kweupeee!Nitonye wa ukweeee!!!! We wa msimu lol!
Unataka kurudi kwenye ban?Acha BANGE ZAKO WEWE! Kalale!
Umeshanizoea nini wewe! Siwezi zoeana na mtu kama wewe! Take ur time!Nishakuzoea, siku 90 zimenifunza mengi.
Umeshanizoea nini wewe! Siwezi zoeana na mtu kama wewe! Take ur time!
Ukaaamua uongezee na hii!Mashavu yako huna jipya!
Usijali mkuu...hii thread tayar tumeshaifanya chit chat..let's keep on chatin!Sijakuzoea wewe, nimekuzoea BAN bt kwa kiherehere chako mapovu yanakutoka! Muone alivyo!
Pua yako inamuogopesha
Duh! Ngoja nilog off kwenye hii thread!Yani cjui ni mtu wa aina gani!
Huhuhuhuhu! Usijal jembe langu, uguza mwili, afya ikikaa poa mambo yatasonga!
Yeah! Nilikula BAN aisee, Jukwaa la siasi sirudi tena teh! Yalinikuta!