Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Sijui ni nin kilitokea bt akaunt yangu ilifungwa kwa muda wa siku 90 kufuatia moja ya mchango wangu jukwaa la siasa, nakumbuka REJAO ndio chanzo cha yote. Katika kipindi chote hicho sikuwezajua nini kinaendelea humu jukwaani, najutia sana kutokuwepo. Napenda kuwapongeza kwa kuuanza mwaka salama, kwa kuendeleza kijiwe na upendo miongoni mwetu! Nimerudi kwa kasi ya ajabu sana. tupo pamoja sasa. Kwa wale rafiki zangu napenda mnisamehe kwa yaliyojitokeza!!