kababaa1
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 597
- 399
Mpenzi wangu ni nesi, aliniaga anakwenda semina ya kikazi, tangu juzi jana nikapigiwa simu na jamaa kuwa mpenzi wangu kaonekana nyumba flani ambapo wanaishi watu mbalimbali, na jamaa alinijuza kuwa alikua akinisaliti.
Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhani ni ukweli jinsi alivyokuwa serious kujitetea na kulia kwa uchungu.
Leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe, nimeenda nikakaa nyumbani kwa jamaa huku nikisikilizia sauti zilizokuwa zinatoka chumba jirani kwa kuwa nyumba haina sing body.
Gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani, na mimi nikatoka nikasimama mlangoni waliporudi alistuka na sikufanya lolote.
Nimekuja mbio hadi nyumbani natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. Jamaa aliye nae simfahamu ila nimeona namweza kabisa. Mpenzi wangu ana ujauzito wa mieiz 2 wa kwangu.
NISHAURINI TAFADHALI
Nilimuliza mpenzi wangu akakataa katu na kuapa kwa mungu na kunikaripia vikali kwa kusikiliza maneno ya watu. nilidhani ni ukweli jinsi alivyokuwa serious kujitetea na kulia kwa uchungu.
Leo jamaa kaniita kanambia njoo shuhudia mwenyewe, nimeenda nikakaa nyumbani kwa jamaa huku nikisikilizia sauti zilizokuwa zinatoka chumba jirani kwa kuwa nyumba haina sing body.
Gafla mlango wa kile chumba ulifunguliwa na wakatoka nje kuelekea msalani, na mimi nikatoka nikasimama mlangoni waliporudi alistuka na sikufanya lolote.
Nimekuja mbio hadi nyumbani natetemeka mwili mzima sijui cha kufanya. Jamaa aliye nae simfahamu ila nimeona namweza kabisa. Mpenzi wangu ana ujauzito wa mieiz 2 wa kwangu.
NISHAURINI TAFADHALI