Nenda hospitali, na binadamu anatumiaje vyuma wakati kuna tooth pick? Au ulikuwa unatumia vifaa vya ofisini isivyo ili userve? hahahahahaaaa kaaazi kwelikweliiiiiiiiiiiiii
Wanajamvini naomba msaada wenu kuna siku nilikuwa nachokonoa meno na stepple ikawa kipande cha stepple pin likavunjika nikaimeza imenikwama kooni napata maimivu makali sana nifanyeje ni wiki ya pili sasa maumivu yananitesa nombeeni msaada ndugu
Ahahahaah!!Wahi loliondo kwa babu