Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
ha ha ha na wewe pia ulipotea! nilkujibu kule uliponiuliza wapi nilikua....Tatizo lako hommie unaibuka kuokoa jahazi wakati nduguyo nshaangamia! Hehehe! Sasa ntakuwa natinga kwa mkoloni na valeur kwa mfuko.