Nimelimiss sana hili Jukwaa la Mapenzi na Wadau Wake Wote

Status
Not open for further replies.

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
863
Wapenzi habari za masiku kadhaa.Nimatumani yangu kuwa wote tu wazima na tunaendelea vizuri na shughuli zetu za kila siku...Nilukuwa mbali kidogo nba jukwaa hili kwa sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wangu..Kifupi ni kwamba nilikuwa na majukumu yaliyonifanya niwe mbali na kitu kinachoitwa computer na hivyo kupitwa na mengi ndani ya jukwaaa letu murua la mapenzi..Nilikuwa napata wasaa mchache nakupitia kuleee kwenye jukwaa la siasa kidogo na kupotea..Kusema ukweli nimekosa vitu vingi vya humu na nimewamiss sana yaani ile mbaya..Nimemiss point zenu,nimemiss pumba zenu,nimemiss kucheka peke yangu,nimemiss kukuasirika peke yangu,nimemiss kufurahi peke yangu ,nimemiss na hata kuhuzunika..Vyote hivi huwa navipata ndani ya jukwaa hili..Nafurahi sana kurudi tena hewani leo...

I missed you all!
Mwaaaaaaaaaaaaaaa
 
We acha tu ; JF ni kiboko ; karibu ujumuike tena! Tume imiss pia mikasa ulityokuwa unatuletea
 
hata sie tulikumiss sana JF huko ulipokuwa kuna mafanikio yoyote na me niende kuchungulia ?
 
Wapenzi habari za masiku kadhaa.Nimatumani yangu kuwa wote tu wazima na tunaendelea vizuri na shughuli zetu za kila siku...Nilukuwa mbali kidogo nba jukwaa hili kwa sababu mbalimbali zilizokuwa nje ya uwezo wangu..Kifupi ni kwamba nilikuwa na majukumu yaliyonifanya niwe mbali na kitu kinachoitwa computer na hivyo kupitwa na mengi ndani ya jukwaaa letu murua la mapenzi..Nilikuwa napata wasaa mchache nakupitia kuleee kwenye jukwaa la siasa kidogo na kupotea..Kusema ukweli nimekosa vitu vingi vya humu na nimewamiss sana yaani ile mbaya..Nimemiss point zenu,nimemiss pumba zenu,nimemiss kucheka peke yangu,nimemiss kukuasirika peke yangu,nimemiss kufurahi peke yangu ,nimemiss na hata kuhuzunika..Vyote hivi huwa navipata ndani ya jukwaa hili..Nafurahi sana kurudi tena hewani leo...

I missed you all!
Mwaaaaaaaaaaaaaaa
Hapo kwenye red leo nimesahau mawani yangu. Hebu nisomeeni hapo.

Mimi siku-kumisi. Ila kiukweli Nimefurahi sana kurudi kwako hapa.
Nigongee Senksi hapo kama ishara ya kudumisha mapenzi yetu.
 
karibu tena jukwaani gs tulikumis pia hope umekuja na michango mipya
 
GS asante kwa kuwa honest, pamoj na kumis mapwenti ulimisi pia pumba
good to have you back!!!
 
Jamani nashukuru sana kwa kunikaribisha tena..Asante sana Maskini Jeuri ila angalia usiwe mjeuri kwani ujeuri sio mzuri,mikasa ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana FL1 huko nilikotoka kuna mafanikio mzuri tu ila sijui kama unaweza kwenda kuchungulia.Ni unapita vijijini kupiga jaramba kama kichaa,halafu mbaya ni pale wengine hawakuelewi unazungumza nini,ni kugumu tulikuwa tunashinda na njaa,wakati mwingine tunakwama barabarani kwani barabara ni mbaya mvua ikishenyesha hazipitiki,kama unaroho ndogo huwezi kuvumilia kutoa machozi,watu bado ni maskini kupita kiasi,watoto wanaenda shule nusu shati limechanika miguuni yuko peke peku..shule zina walimu ama 3 au 6 tu,Zahanati anapatikana nesi mmoja tu ambaye hawezi kupoatikana wakati wote..ila kama uko fiti unaweza kwenda..Asante sana Kaizer niliwamiss sana wapwaz na binamuz wot.Asante sana Tall kwa kunikaribisha..Asante sana Xpin kwa kutonimis lakini nashukuru kwa kufurahi kwako kurudi kwangu..Ni kweli nimemiss some pumbaz za humu ndani kama zako n.k.Asante sna drphone usijali michango mipya ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana Charity na Bht kwa ukarimu wenu..

Ni jumanne nzuri kabisa.
 
Jamani nashukuru sana kwa kunikaribisha tena..Asante sana Maskini Jeuri ila angalia usiwe mjeuri kwani ujeuri sio mzuri,mikasa ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana FL1 huko nilikotoka kuna mafanikio mzuri tu ila sijui kama unaweza kwenda kuchungulia.Ni unapita vijijini kupiga jaramba kama kichaa,halafu mbaya ni pale wengine hawakuelewi unazungumza nini,ni kugumu tulikuwa tunashinda na njaa,wakati mwingine tunakwama barabarani kwani barabara ni mbaya mvua ikishenyesha hazipitiki,kama unaroho ndogo huwezi kuvumilia kutoa machozi,watu bado ni maskini kupita kiasi,watoto wanaenda shule nusu shati limechanika miguuni yuko peke peku..shule zina walimu ama 3 au 6 tu,Zahanati anapatikana nesi mmoja tu ambaye hawezi kupoatikana wakati wote..ila kama uko fiti unaweza kwenda..Asante sana Kaizer niliwamiss sana wapwaz na binamuz wot.Asante sana Tall kwa kunikaribisha..Asante sana Xpin kwa kutonimis lakini nashukuru kwa kufurahi kwako kurudi kwangu..Ni kweli nimemiss some pumbaz za humu ndani kama zako n.k.Asante sna drphone usijali michango mipya ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana Charity na Bht kwa ukarimu wenu..

Ni jumanne nzuri kabisa.

thanx GS hayo ndo maisha ya uswazi kwetu usihofu nimeyazoea we nipe mchongo .
 
thanx GS hayo ndo maisha ya uswazi kwetu usihofu nimeyazoea we nipe mchongo .

Sio rahisi kama unavyodhani.lakin kwa kuwa wewe ni FL1 na unapaswa kuwa tayari kwa lolote,naamini kabisa utaweza..Jiandae afta Ista tunaweza kuwa wote..Hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Jamani nashukuru sana kwa kunikaribisha tena..Asante sana Maskini Jeuri ila angalia usiwe mjeuri kwani ujeuri sio mzuri,mikasa ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana FL1 huko nilikotoka kuna mafanikio mzuri tu ila sijui kama unaweza kwenda kuchungulia.Ni unapita vijijini kupiga jaramba kama kichaa,halafu mbaya ni pale wengine hawakuelewi unazungumza nini,ni kugumu tulikuwa tunashinda na njaa,wakati mwingine tunakwama barabarani kwani barabara ni mbaya mvua ikishenyesha hazipitiki,kama unaroho ndogo huwezi kuvumilia kutoa machozi,watu bado ni maskini kupita kiasi,watoto wanaenda shule nusu shati limechanika miguuni yuko peke peku..shule zina walimu ama 3 au 6 tu,Zahanati anapatikana nesi mmoja tu ambaye hawezi kupoatikana wakati wote..ila kama uko fiti unaweza kwenda..Asante sana Kaizer niliwamiss sana wapwaz na binamuz wot.Asante sana Tall kwa kunikaribisha..Asante sana Xpin kwa kutonimis lakini nashukuru kwa kufurahi kwako kurudi kwangu..Ni kweli nimemiss some pumbaz za humu ndani kama zako n.k.Asante sna drphone usijali michango mipya ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana Charity na Bht kwa ukarimu wenu..

Ni jumanne nzuri kabisa.
Dah! Kweli uzee mbaya. Mi siku zote nilikuwa najiona namwaga vyointi vya kufa mtu kumbe pumbaz? Anyaway ndio matokeo ya kusomea chini ya miembe. Ulichonifurahisha hukunibania Senksi. Siku nyingine ukienda tena vijijini nione nikupe listauti langu. Masharti yake ni lazima angalau pipa la mbege liwemo.
 
Dah! Kweli uzee mbaya. Mi siku zote nilikuwa najiona namwaga vyointi vya kufa mtu kumbe pumbaz? Anyaway ndio matokeo ya kusomea chini ya miembe. Ulichonifurahisha hukunibania Senksi. Siku nyingine ukienda tena vijijini nione nikupe listauti langu. Masharti yake ni lazima angalau pipa la mbege liwemo.

hahaaaa thats why GS missed you
 
Jamani nashukuru sana kwa kunikaribisha tena..Asante sana Maskini Jeuri ila angalia usiwe mjeuri kwani ujeuri sio mzuri,mikasa ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana FL1 huko nilikotoka kuna mafanikio mzuri tu ila sijui kama unaweza kwenda kuchungulia.Ni unapita vijijini kupiga jaramba kama kichaa,halafu mbaya ni pale wengine hawakuelewi unazungumza nini,ni kugumu tulikuwa tunashinda na njaa,wakati mwingine tunakwama barabarani kwani barabara ni mbaya mvua ikishenyesha hazipitiki,kama unaroho ndogo huwezi kuvumilia kutoa machozi,watu bado ni maskini kupita kiasi,watoto wanaenda shule nusu shati limechanika miguuni yuko peke peku..shule zina walimu ama 3 au 6 tu,Zahanati anapatikana nesi mmoja tu ambaye hawezi kupoatikana wakati wote..ila kama uko fiti unaweza kwenda..Asante sana Kaizer niliwamiss sana wapwaz na binamuz wot.Asante sana Tall kwa kunikaribisha..Asante sana Xpin kwa kutonimis lakini nashukuru kwa kufurahi kwako kurudi kwangu..Ni kweli nimemiss some pumbaz za humu ndani kama zako n.k.Asante sna drphone usijali michango mipya ipo inakuja kwa wingi tu.Asante sana Charity na Bht kwa ukarimu wenu..

Ni jumanne nzuri kabisa.

ulienda kisiasa GS??
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom