Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
ulienda kisiasa GS??
Ha ha ha.Kwanini umeuliza hivyo?
ulienda kisiasa GS??
Ha ha ha.Kwanini umeuliza hivyo?
Hahahah!hahaaaa thats why GS missed you
Nawewe bana dah! Siku nyingine desperately, siku nyingine definately....karibu sana , we definetely missed you.
Hahahah!
Huyu hakunimisi mimi nawee. Alimisi mapumbaz! Mjanja kweli, alichukua kande zangu akaniachia mapumba. Maskini hakujua umuhimu wa mapumba. Ile anajua umuhimu wake tayari imekuwa too late kwake. Nshawatupia kuku tayari. Hahahaha! Sasa ameyamisi si umeona?
Hapa sijui nimetema pointi au pumba. Hiki kichwa bila hangover huwa kinakuwa na ubongo wa kichina. Sijui nisepe?
kutaka kujua tu dear na si vinginevyo
Sio rahisi kama unavyodhani.lakin kwa kuwa wewe ni FL1 na unapaswa kuwa tayari kwa lolote,naamini kabisa utaweza..Jiandae afta Ista tunaweza kuwa wote..Hakuna kulala mpaka kieleweke.
dah poleni nasikia mzee mmoja aliwachenchia akawafukuza kwenye uwanja wake kuhofia sirikali inaweza kumtunishia msuli......!!!!Nilishangaa kwa kuwa ulilenga penyewe..Niliedna kisiasa.nilikuwa kwenye Operesheni Sangara ya CHADEMA kama umeshaisikia.Tulikuwa Mkoa wa Dodoma
Hahahah!
Huyu hakunimisi mimi nawee. Alimisi mapumbaz! Mjanja kweli, alichukua kande zangu akaniachia mapumba. Maskini hakujua umuhimu wa mapumba. Ile anajua umuhimu wake tayari imekuwa too late kwake. Nshawatupia kuku tayari. Hahahaha! Sasa ameyamisi si umeona?
Hapa sijui nimetema pointi au pumba. Hiki kichwa bila hangover huwa kinakuwa na ubongo wa kichina. Sijui nisepe?
Ahsante kwa kunifumbua macho.Karibu sana bibie
Swali la kwanza.ulienda kisiasa GS??
Kama kawaida watanzania ndivyo tulivyo. Swali juu ya swali ndo zetuHa ha ha.Kwanini umeuliza hivyo?
Ufafanuzi huu hapa. Mamushka kwa udaku. Haya ngoja tusubirie jibu.kutaka kujua tu dear na si vinginevyo
Dah! Sikujua. Safi Sana. Wanawake lazima muonyeshe mnaweza. Utagombea jimbo gani ukamate kura yangu? Hii ni promise ujue!!Nilishangaa kwa kuwa ulilenga penyewe..Niliedna kisiasa.nilikuwa kwenye Operesheni Sangara ya CHADEMA kama umeshaisikia.Tulikuwa Mkoa wa Dodoma
hahaaa biggy macho yatatoboka mwaka huu nakwambia, acha mi niwe mdaku lakini inanisaidia kujua mengi, nawe ungejuaje nisingeuliza?? kura yako ineeksipaya mfukoni, sema asante kwa mamushkaAhsante kwa kunifumbua macho.
Swali la kwanza.
Kama kawaida watanzania ndivyo tulivyo. Swali juu ya swali ndo zetu
Ufafanuzi huu hapa. Mamushka kwa udaku. Haya ngoja tusubirie jibu.
Dah! Sikujua. Safi Sana. Wanawake lazima muonyeshe mnaweza. Utagombea jimbo gani ukamate kura yangu? Hii ni promise ujue!!
Sipati picha. We si mwanachama wa kufa na kuzikana wa CCM? Hebu msome huyu unayetaka kuambatana naye alikuwa kwenye operesheni gani.Haina shaka just count on me ..mguu na njia pamoja sana
Hapa ujue umeshaufunga urafiki wako na FL1.Nilishangaa kwa kuwa ulilenga penyewe..Niliedna kisiasa.nilikuwa kwenye Operesheni Sangara ya CHADEMA kama umeshaisikia.Tulikuwa Mkoa wa Dodoma
Kama hapo umemanisha mimi, basi kama kawaida yangu, ntayaweka hayo moyoni mwangu. Halafu leo ntakunywa valeur mpaka nipoteze netiweki kwa afya yako. Usisahau una kura yangu.......Xpin acha hizo..Mimi nimeshasema niliwamiss,it is true that i missed you..Ni kweli pia niulimiss na vingine vileee
Ahsante kwa kunifumbua macho.
Swali la kwanza.
Kama kawaida watanzania ndivyo tulivyo. Swali juu ya swali ndo zetu
Ufafanuzi huu hapa. Mamushka kwa udaku. Haya ngoja tusubirie jibu.
Dah! Sikujua. Safi Sana. Wanawake lazima muonyeshe mnaweza. Utagombea jimbo gani ukamate kura yangu? Hii ni promise ujue!!
Mimi sio she Xpin.Si unajua mabo ya JF kuzugana sometimes?Jimbo ninalogombea nitalitaja siku nyingine..Unajua am hiding my identity sasa nikitaja jimbo tu tayari watu watafahamu mimi ni nani..Niyasema wakati muafaka ukifika.
Dah!Mimi sio she Xpin.Si unajua mabo ya JF kuzugana sometimes?Jimbo ninalogombea nitalitaja siku nyingine..Unajua am hiding my identity sasa nikitaja jimbo tu tayari watu watafahamu mimi ni nani..Niyasema wakati muafaka ukifika.
Tatizo la usober hilo hommie umeona eh! hebu kazimue kidogo tupate mapwoint!!Dah!
Kwa mara ya kwanza leo nimeingia choo cha kike afu nikajisahau kuchuchumaa!
unaogopa nini GS?
Anyway mie ntasubiri, ni hapa dar au mkoa??
Tatizo lako hommie unaibuka kuokoa jahazi wakati nduguyo nshaangamia! Hehehe! Sasa ntakuwa natinga kwa mkoloni na valeur kwa mfuko.Tatizo la usober hilo hommie umeona eh! hebu kazimue kidogo tupate mapwoint!!
Dah!
Kwa mara ya kwanza leo nimeingia choo cha kike afu nikajisahau kuchuchumaa!
Anyway, haijalishi; kura yangu haiwezi kwenda CCM.