Nilikuwa nawasikia mashoga zangu wakisimulia habari za humu jf, na mie nimejikuta tu nikitamani kujiunga hasa baada ya kusoma hoja mbalimbali ambazo kwa kweli zimenielimisha kukua kifikra............. pamoja daima
Cantalisa, mwenzangu hili neno lako, limenichekesha kweli, eti,"Dagaa hata achemshwe vipi hafumbi macho" Kumbe weye wawapika na vichwa vyao!? mie mwenzenu huwa navikata,,,,,,,,,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.