Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza

Well Sayed
Asante sana kwa darasa, ila mahusiano naye(mke wa mtu) hayamsaidii huyo shemeji yako hata kidogo na si salama kwako.
Usidhani una msaada ama upendo mkubwa hivyo kwa mke wa mtu.
Na tena usifikiri kwamba huyo shemeji yako eti ni mzuri hivyo mithili ya malaika, hapana, anafanya masahihisho kwako kwa yale aliyokosea kwa mumewe.
Kuwa makini!
 
Habari Wakuu

Binafsi nimejikuta nikiingia na mahusiano na mke wa mtu lakini ilikuaje?

Nilijikuta ninampenda binti mmoja kwa mara ya kwanza nilivyomuona nikamwiita na nikaongea nae na akanipa namba yake ya Simu.Baada ya hapo tukawa tunachat bila kujua mazingira yake yakoje, kuchat tukajikuta kila mmoja anampenda mwenzake ingawa hatuambiana hisia zetu.

Baada kupita miezi kadhaa nikakubaliana nae tukutane ndipo tukakutana sehemu kila mmoja alikuwa anajua anapenda mwenzake so haikuwa na haja ya kumwaga sera zaidi kumjua mwenzake mazingira yake.

Yule manzi ndipo akafunguka kwangu kwamba yeye ameolewa sema ametengengana na Mumewe kutokana na migogoro fulani ila hakuniambia ni migogoro ipi au Mambo gani na akasema kwasasa hawapo pamoja yeye yupo kwao na Mumewe kwake akaniuliza je ungependa kuwa na mimi?

Binafsi nilishangaa sikuamini kwamba aliolewa ila kwasababu nimependa na ameshaniambia hayupo Tena na Mumewe nilikubali kuwa na mahusiano.Kwanza nilichopenda kutoka kwake ni kitendo chake Cha kuwa mkweli, ni manzi mzuri sana lakini pia tabia yake inanivutia alafu anaheshima ya hali ya juu.

Baada ya Muda kupita mahusiano yetu ya kawa moto, tukatengeneza chemistry nzuri na trust each other ndipo kidogo kidogo yule manzi akawa anafunguka mambo ya Mumewe yaliyomchosha aliniambia vitu vingi ila nitazungumza baadhi na mpaka akanioneshea picha ya Mumewe na kiukweli yule mtu nilikuwa namjua baada ya kunionesha binafsi nilistuka ila nikavunga kama simjui maana nakumbuka jamaa niliwahi kwenda kuomba kazi kwenye kampuni yake na kiukweli jamaa ana hela ile mbaya.

kwanza akaniambia yule Manzi hana furaha ya ndoa yake lakini Namshukuru Mungu nimekupata wewe (Ambaye ni Mimi) amefufua furaha ambayo ilipotea akasema Mumewe hata tu bando tu hampi, mlevi Sana akisharudi anaigwa kipigo Cha mbwa koko, hata zawadi yoyote ile hajawahi kuumpa kama ninavyofanya mimi, anamfanyia udhalilishaji mkubwa analeta michepuko na analala nao kwenye kitanda ambacho yeye na Mumewe wanalala wote, anapelekwa kwa mama mkwe wake anafanyishwa makazi mengi ingawa anaumwa na kulala kwenye banda la mbwa na Mumewe yote hayo anaona na anasapoti n.k

vitu alivyokuwa akaniambia yule Manzi dah inanifanya sometimes nisiamini cos yule Mumewe alivyo, ukwasi alionao inakuwa ngumu kuamini ni kaja kuamini siku ambapo huyo manzi alivyonialika kwao pamoja na marafiki zake siku ya christmas ambapo Mumewe alikuwa gafla bila taarifa na tukawa nae pale wakati wa chakula yule Manzi akawa atupelekea chakula bahati mbaya akadondoka na chakula alichokibeba kikadondoka na alichunika kidogo kwenye vidole vyake damu zikaanza kutoka cha ajabu yule Mumewe akaenda kumuwasha makofi mengi na kuanza kusema sisi wengine wote tunamshuhudia Tena si kwake kwa mama mkwe wake anafanya hivyo je angekuwa kwake ingekuaje?

Bahati nzuri siku Hilo Wazazi wa yule binti hawakuwepo.Nikaja kujua binti aliolewa na mtu sio sahihi ila kiukweli yule Manzi ni mtu na nusu yupo full package mzuri ile mbaya, anatabia nzuri binafsi ananipa upendo wa hali ya juu ni ngumu sana kumkuta binti mzuri alafu akawa wife material, ni mwanamke ambaye kwanza haombi ombi ovyo hela Ukiona kakuomba ujue ana shida haswa.

nikaja kujua zaidi ni kwamba hata mwili wake si wake halisi ni kwasababu ya kukosa furaha, amani ndani ya ndoa yake maana baada ya kurudi kwao alininenepa kidogo,akawa ana shape kali na akawa mzuri sana tofauti kipindi yupo kwa Mumewe alikuwa mwembamba Sana, hana shape japo Mumewe ana hela Sana.

Ushauri wangu kwa wadada

Huyu mpenzi wangu si mlaumu kabisa kwanini kapata muwe wa aina hii kwasababu kaolewa akiwa mdogo, hajapitia mahusiano ya uboyfriend angalau ungempa uzoefu wa Wanaume huyo Mumewe ndio alimtoa bikra.

Amejaribu pia kufanya process za divorce zimeshindikana si unajua ni ndoa ya kikristo
tuje kwenye key point wadada msipende kukimbilia ndoa eti kwasababu ya maisha yamekupiga, pressure za ndugu au tu umepata fursa ya kuolewa bila kuangalia aina gani ya mwanaume unayeingia nae kwenye ndoa, Ndoa siku zote haina shida na bless ya MwenyeziMungu kuna vitu vingi vya msingi lazima uzingatie kabla hata ujakubali kuolewa na mtu

1. Je huyo mtu ana moyo safi?

2. Ana kuthamini?

3. Anakupenda?

4. Anakujali?

5. Anakuheshimu?

shida ya wadada wengi wanateseka kwenye ndoa kwa kuangalia mambo kwa tamaa zao binafsi anaangalia material things bila kujua yupo mtu yukoje?
Sorry story ni nzuri ila kaaa mbali na mke wa Mtu hata kama wanagombana au wametengana utakufa kabla ya wakati kwa tamaa ya mlo wa usiku. Kumbuka alikubali kuwa naye leo anasema mabaya yake huyo sio mke Bora hivyo take care... Usije sema hukuambiwa.
 
Habari Wakuu

Binafsi nimejikuta nikiingia na mahusiano na mke wa mtu lakini ilikuaje?

Nilijikuta ninampenda binti mmoja kwa mara ya kwanza nilivyomuona nikamwiita na nikaongea nae na akanipa namba yake ya Simu.Baada ya hapo tukawa tunachat bila kujua mazingira yake yakoje, kuchat tukajikuta kila mmoja anampenda mwenzake ingawa hatuambiana hisia zetu.

Baada kupita miezi kadhaa nikakubaliana nae tukutane ndipo tukakutana sehemu kila mmoja alikuwa anajua anapenda mwenzake so haikuwa na haja ya kumwaga sera zaidi kumjua mwenzake mazingira yake.

Yule manzi ndipo akafunguka kwangu kwamba yeye ameolewa sema ametengengana na Mumewe kutokana na migogoro fulani ila hakuniambia ni migogoro ipi au Mambo gani na akasema kwasasa hawapo pamoja yeye yupo kwao na Mumewe kwake akaniuliza je ungependa kuwa na mimi?

Binafsi nilishangaa sikuamini kwamba aliolewa ila kwasababu nimependa na ameshaniambia hayupo Tena na Mumewe nilikubali kuwa na mahusiano.Kwanza nilichopenda kutoka kwake ni kitendo chake Cha kuwa mkweli, ni manzi mzuri sana lakini pia tabia yake inanivutia alafu anaheshima ya hali ya juu.

Baada ya Muda kupita mahusiano yetu ya kawa moto, tukatengeneza chemistry nzuri na trust each other ndipo kidogo kidogo yule manzi akawa anafunguka mambo ya Mumewe yaliyomchosha aliniambia vitu vingi ila nitazungumza baadhi na mpaka akanioneshea picha ya Mumewe na kiukweli yule mtu nilikuwa namjua baada ya kunionesha binafsi nilistuka ila nikavunga kama simjui maana nakumbuka jamaa niliwahi kwenda kuomba kazi kwenye kampuni yake na kiukweli jamaa ana hela ile mbaya.

kwanza akaniambia yule Manzi hana furaha ya ndoa yake lakini Namshukuru Mungu nimekupata wewe (Ambaye ni Mimi) amefufua furaha ambayo ilipotea akasema Mumewe hata tu bando tu hampi, mlevi Sana akisharudi anaigwa kipigo Cha mbwa koko, hata zawadi yoyote ile hajawahi kuumpa kama ninavyofanya mimi, anamfanyia udhalilishaji mkubwa analeta michepuko na analala nao kwenye kitanda ambacho yeye na Mumewe wanalala wote, anapelekwa kwa mama mkwe wake anafanyishwa makazi mengi ingawa anaumwa na kulala kwenye banda la mbwa na Mumewe yote hayo anaona na anasapoti n.k

vitu alivyokuwa akaniambia yule Manzi dah inanifanya sometimes nisiamini cos yule Mumewe alivyo, ukwasi alionao inakuwa ngumu kuamini ni kaja kuamini siku ambapo huyo manzi alivyonialika kwao pamoja na marafiki zake siku ya christmas ambapo Mumewe alikuwa gafla bila taarifa na tukawa nae pale wakati wa chakula yule Manzi akawa atupelekea chakula bahati mbaya akadondoka na chakula alichokibeba kikadondoka na alichunika kidogo kwenye vidole vyake damu zikaanza kutoka cha ajabu yule Mumewe akaenda kumuwasha makofi mengi na kuanza kusema sisi wengine wote tunamshuhudia Tena si kwake kwa mama mkwe wake anafanya hivyo je angekuwa kwake ingekuaje?

Bahati nzuri siku Hilo Wazazi wa yule binti hawakuwepo.Nikaja kujua binti aliolewa na mtu sio sahihi ila kiukweli yule Manzi ni mtu na nusu yupo full package mzuri ile mbaya, anatabia nzuri binafsi ananipa upendo wa hali ya juu ni ngumu sana kumkuta binti mzuri alafu akawa wife material, ni mwanamke ambaye kwanza haombi ombi ovyo hela Ukiona kakuomba ujue ana shida haswa.

nikaja kujua zaidi ni kwamba hata mwili wake si wake halisi ni kwasababu ya kukosa furaha, amani ndani ya ndoa yake maana baada ya kurudi kwao alininenepa kidogo,akawa ana shape kali na akawa mzuri sana tofauti kipindi yupo kwa Mumewe alikuwa mwembamba Sana, hana shape japo Mumewe ana hela Sana.

Ushauri wangu kwa wadada

Huyu mpenzi wangu si mlaumu kabisa kwanini kapata muwe wa aina hii kwasababu kaolewa akiwa mdogo, hajapitia mahusiano ya uboyfriend angalau ungempa uzoefu wa Wanaume huyo Mumewe ndio alimtoa bikra.

Amejaribu pia kufanya process za divorce zimeshindikana si unajua ni ndoa ya kikristo
tuje kwenye key point wadada msipende kukimbilia ndoa eti kwasababu ya maisha yamekupiga, pressure za ndugu au tu umepata fursa ya kuolewa bila kuangalia aina gani ya mwanaume unayeingia nae kwenye ndoa, Ndoa siku zote haina shida na bless ya MwenyeziMungu kuna vitu vingi vya msingi lazima uzingatie kabla hata ujakubali kuolewa na mtu

1. Je huyo mtu ana moyo safi?

2. Ana kuthamini?

3. Anakupenda?

4. Anakujali?

5. Anakuheshimu?

shida ya wadada wengi wanateseka kwenye ndoa kwa kuangalia mambo kwa tamaa zao binafsi anaangalia material things bila kujua yupo mtu yukoje?
Huyo usimlaumu mama mkwe karoga mfarakano na Giza na nuksi ya kimavi ili mwanae awe upande wake asimpende mkewe. Inahitaji akili na maarifa ya kiroho pia kwenye maisha ya ndoa na tafsiri ya migogoro ya wana ndoa.

Kaka Mshana Jnr hebu jazia kidogo hapo
 
Nimegundua kuna member humu ndani anatembea na mke wangu kutokana na uzi aliouandika humu.
Uzi wenyewe ni huu Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza
Member alieandika huu uzi anatembea na mke wangu, na mke wangu amemdanganya vitu vingi sana kuhusu mimi na kumjaza maneno ya uongo, ikiwemo ya kwamba nilimkuta bikra. Pamoja na hayo, huyu jamaa ni wale wanaume marioo wanaopenda kulelewa kwani amekua akipewa pesa na mke wangu, pesa ambazo mimi nazitafuta kwa jasho na damu, yeye anazila kirahisi tu.Nilishashtukia kuwa kuna mtu ananilia vyangu kutokana na mabadiliko ya tabia kwa mke wangu, pamoja na kuwa na matumizi makubwa ya pesa ninayompa bila maelezo ya kujitosheleza. Leo nimehakikisha na kumjua mbaya wangu.
Sitaki kuzungumzia mapungufu ya huyo mwanamke hapa, ila tu nawataarifu kuwa kwa nitakachomfanyia huyu jamaa tusije tukalaumiana kabisa.
Nitamuonyesha kuwa mali ya mwanaume hailiwi bure.
Kinachokwenda kumpata atahadithia hadi wajukuu zake.
Nimemaliza.
🚶
 
Habari Wakuu

Binafsi nimejikuta nikiingia na mahusiano na mke wa mtu lakini ilikuaje?

Nilijikuta ninampenda binti mmoja kwa mara ya kwanza nilivyomuona nikamwiita na nikaongea nae na akanipa namba yake ya Simu.Baada ya hapo tukawa tunachat bila kujua mazingira yake yakoje, kuchat tukajikuta kila mmoja anampenda mwenzake ingawa hatuambiana hisia zetu.

Baada kupita miezi kadhaa nikakubaliana nae tukutane ndipo tukakutana sehemu kila mmoja alikuwa anajua anapenda mwenzake so haikuwa na haja ya kumwaga sera zaidi kumjua mwenzake mazingira yake.

Yule manzi ndipo akafunguka kwangu kwamba yeye ameolewa sema ametengengana na Mumewe kutokana na migogoro fulani ila hakuniambia ni migogoro ipi au Mambo gani na akasema kwasasa hawapo pamoja yeye yupo kwao na Mumewe kwake akaniuliza je ungependa kuwa na mimi?

Binafsi nilishangaa sikuamini kwamba aliolewa ila kwasababu nimependa na ameshaniambia hayupo Tena na Mumewe nilikubali kuwa na mahusiano.Kwanza nilichopenda kutoka kwake ni kitendo chake Cha kuwa mkweli, ni manzi mzuri sana lakini pia tabia yake inanivutia alafu anaheshima ya hali ya juu.

Baada ya Muda kupita mahusiano yetu ya kawa moto, tukatengeneza chemistry nzuri na trust each other ndipo kidogo kidogo yule manzi akawa anafunguka mambo ya Mumewe yaliyomchosha aliniambia vitu vingi ila nitazungumza baadhi na mpaka akanioneshea picha ya Mumewe na kiukweli yule mtu nilikuwa namjua baada ya kunionesha binafsi nilistuka ila nikavunga kama simjui maana nakumbuka jamaa niliwahi kwenda kuomba kazi kwenye kampuni yake na kiukweli jamaa ana hela ile mbaya.

Kwanza akaniambia yule Manzi hana furaha ya ndoa yake lakini Namshukuru Mungu nimekupata wewe (Ambaye ni Mimi) amefufua furaha ambayo ilipotea akasema Mumewe hata tu bando tu hampi, mlevi Sana akisharudi anaigwa kipigo Cha mbwa koko, hata zawadi yoyote ile hajawahi kuumpa kama ninavyofanya mimi, anamfanyia udhalilishaji mkubwa analeta michepuko na analala nao kwenye kitanda ambacho yeye na Mumewe wanalala wote, anapelekwa kwa mama mkwe wake anafanyishwa makazi mengi ingawa anaumwa na kulala kwenye banda la mbwa na Mumewe yote hayo anaona na anasapoti n.k

Vitu alivyokuwa akaniambia yule Manzi dah inanifanya sometimes nisiamini cos yule Mumewe alivyo, ukwasi alionao inakuwa ngumu kuamini ni kaja kuamini siku ambapo huyo manzi alivyonialika kwao pamoja na marafiki zake siku ya christmas ambapo Mumewe alikuwa gafla bila taarifa na tukawa nae pale wakati wa chakula yule Manzi akawa atupelekea chakula bahati mbaya akadondoka na chakula alichokibeba kikadondoka na alichunika kidogo kwenye vidole vyake damu zikaanza kutoka cha ajabu yule Mumewe akaenda kumuwasha makofi mengi na kuanza kusema sisi wengine wote tunamshuhudia Tena si kwake kwa mama mkwe wake anafanya hivyo je angekuwa kwake ingekuaje?

Bahati nzuri siku Hilo Wazazi wa yule binti hawakuwepo.Nikaja kujua binti aliolewa na mtu sio sahihi ila kiukweli yule Manzi ni mtu na nusu yupo full package mzuri ile mbaya, anatabia nzuri binafsi ananipa upendo wa hali ya juu ni ngumu sana kumkuta binti mzuri alafu akawa wife material, ni mwanamke ambaye kwanza haombi ombi ovyo hela Ukiona kakuomba ujue ana shida haswa.

Nikaja kujua zaidi ni kwamba hata mwili wake si wake halisi ni kwasababu ya kukosa furaha, amani ndani ya ndoa yake maana baada ya kurudi kwao alininenepa kidogo,akawa ana shape kali na akawa mzuri sana tofauti kipindi yupo kwa Mumewe alikuwa mwembamba Sana, hana shape japo Mumewe ana hela Sana.

Ushauri wangu kwa wadada

Huyu mpenzi wangu si mlaumu kabisa kwanini kapata muwe wa aina hii kwasababu kaolewa akiwa mdogo, hajapitia mahusiano ya uboyfriend angalau ungempa uzoefu wa Wanaume huyo Mumewe ndio alimtoa bikra.

Amejaribu pia kufanya process za divorce zimeshindikana si unajua ni ndoa ya kikristo
tuje kwenye key point wadada msipende kukimbilia ndoa eti kwasababu ya maisha yamekupiga, pressure za ndugu au tu umepata fursa ya kuolewa bila kuangalia aina gani ya mwanaume unayeingia nae kwenye ndoa, Ndoa siku zote haina shida na bless ya MwenyeziMungu kuna vitu vingi vya msingi lazima uzingatie kabla hata ujakubali kuolewa na mtu

1. Je huyo mtu ana moyo safi?

2. Ana kuthamini?

3. Anakupenda?

4. Anakujali?

5. Anakuheshimu?

Shida ya wadada wengi wanateseka kwenye ndoa kwa kuangalia mambo kwa tamaa zao binafsi anaangalia material things bila kujua yupo mtu yukoje?
Madhara ya kumpendea mwanaume hela aendelee kupambana na Hali yake
 
Pumbavu wewe. Kumbe una mahusiano na mke wangu. Nitakuonyesha kijana. Huyo mwanamke kakudanganya vitu vingi kunihusu ili aweze kuwa na justification ya kutembea na wewe. Kakwambia mabaya yangu, na ya kwake amekwambia?Unadhani yeye ni malaika eeeh?
Sasa nitakachokufanyia, hautaweza kusahau, utajua gharama ya kula mali yangu.
Mbona hujasema pia anavyokupa pesa na kukulea kwa pesa ninazompa mimi? Yaani unanit*mbea mke, na pesa zangu anakupa na bado unakuja kunisimanga hapa.
Nitakachokufanya uje kuhadithia pia hapa. Itakua fundisho kwa wapenda vya watu.
Nimeshafahamu nyendo zako.
Kama ni mke wako kweli ameliwa, nenda kwenye PM ya mlaji mmalizane huko.
Haya makelele unayopiga hapa hayasaidii chochote.

Endapo unataka umma ujue ukweli basi andika upande wa pili wa story tuweke kwenye mizani.
 
Hongera kwa kutoa funzo, lakini huyo tayari Ni make wa mtu....achana nae atakuletea matatizo
 
Habari Wakuu

Binafsi nimejikuta nikiingia na mahusiano na mke wa mtu lakini ilikuaje?

Nilijikuta ninampenda binti mmoja kwa mara ya kwanza nilivyomuona nikamwiita na nikaongea nae na akanipa namba yake ya Simu.Baada ya hapo tukawa tunachat bila kujua mazingira yake yakoje, kuchat tukajikuta kila mmoja anampenda mwenzake ingawa hatuambiana hisia zetu.

Baada kupita miezi kadhaa nikakubaliana nae tukutane ndipo tukakutana sehemu kila mmoja alikuwa anajua anapenda mwenzake so haikuwa na haja ya kumwaga sera zaidi kumjua mwenzake mazingira yake.

Yule manzi ndipo akafunguka kwangu kwamba yeye ameolewa sema ametengengana na Mumewe kutokana na migogoro fulani ila hakuniambia ni migogoro ipi au Mambo gani na akasema kwasasa hawapo pamoja yeye yupo kwao na Mumewe kwake akaniuliza je ungependa kuwa na mimi?

Binafsi nilishangaa sikuamini kwamba aliolewa ila kwasababu nimependa na ameshaniambia hayupo Tena na Mumewe nilikubali kuwa na mahusiano.Kwanza nilichopenda kutoka kwake ni kitendo chake Cha kuwa mkweli, ni manzi mzuri sana lakini pia tabia yake inanivutia alafu anaheshima ya hali ya juu.

Baada ya Muda kupita mahusiano yetu ya kawa moto, tukatengeneza chemistry nzuri na trust each other ndipo kidogo kidogo yule manzi akawa anafunguka mambo ya Mumewe yaliyomchosha aliniambia vitu vingi ila nitazungumza baadhi na mpaka akanioneshea picha ya Mumewe na kiukweli yule mtu nilikuwa namjua baada ya kunionesha binafsi nilistuka ila nikavunga kama simjui maana nakumbuka jamaa niliwahi kwenda kuomba kazi kwenye kampuni yake na kiukweli jamaa ana hela ile mbaya.

Kwanza akaniambia yule Manzi hana furaha ya ndoa yake lakini Namshukuru Mungu nimekupata wewe (Ambaye ni Mimi) amefufua furaha ambayo ilipotea akasema Mumewe hata tu bando tu hampi, mlevi Sana akisharudi anaigwa kipigo Cha mbwa koko, hata zawadi yoyote ile hajawahi kuumpa kama ninavyofanya mimi, anamfanyia udhalilishaji mkubwa analeta michepuko na analala nao kwenye kitanda ambacho yeye na Mumewe wanalala wote, anapelekwa kwa mama mkwe wake anafanyishwa makazi mengi ingawa anaumwa na kulala kwenye banda la mbwa na Mumewe yote hayo anaona na anasapoti n.k

Vitu alivyokuwa akaniambia yule Manzi dah inanifanya sometimes nisiamini cos yule Mumewe alivyo, ukwasi alionao inakuwa ngumu kuamini ni kaja kuamini siku ambapo huyo manzi alivyonialika kwao pamoja na marafiki zake siku ya christmas ambapo Mumewe alikuwa gafla bila taarifa na tukawa nae pale wakati wa chakula yule Manzi akawa atupelekea chakula bahati mbaya akadondoka na chakula alichokibeba kikadondoka na alichunika kidogo kwenye vidole vyake damu zikaanza kutoka cha ajabu yule Mumewe akaenda kumuwasha makofi mengi na kuanza kusema sisi wengine wote tunamshuhudia Tena si kwake kwa mama mkwe wake anafanya hivyo je angekuwa kwake ingekuaje?

Bahati nzuri siku Hilo Wazazi wa yule binti hawakuwepo.Nikaja kujua binti aliolewa na mtu sio sahihi ila kiukweli yule Manzi ni mtu na nusu yupo full package mzuri ile mbaya, anatabia nzuri binafsi ananipa upendo wa hali ya juu ni ngumu sana kumkuta binti mzuri alafu akawa wife material, ni mwanamke ambaye kwanza haombi ombi ovyo hela Ukiona kakuomba ujue ana shida haswa.

Nikaja kujua zaidi ni kwamba hata mwili wake si wake halisi ni kwasababu ya kukosa furaha, amani ndani ya ndoa yake maana baada ya kurudi kwao alininenepa kidogo,akawa ana shape kali na akawa mzuri sana tofauti kipindi yupo kwa Mumewe alikuwa mwembamba Sana, hana shape japo Mumewe ana hela Sana.

Ushauri wangu kwa wadada

Huyu mpenzi wangu si mlaumu kabisa kwanini kapata muwe wa aina hii kwasababu kaolewa akiwa mdogo, hajapitia mahusiano ya uboyfriend angalau ungempa uzoefu wa Wanaume huyo Mumewe ndio alimtoa bikra.

Amejaribu pia kufanya process za divorce zimeshindikana si unajua ni ndoa ya kikristo
tuje kwenye key point wadada msipende kukimbilia ndoa eti kwasababu ya maisha yamekupiga, pressure za ndugu au tu umepata fursa ya kuolewa bila kuangalia aina gani ya mwanaume unayeingia nae kwenye ndoa, Ndoa siku zote haina shida na bless ya MwenyeziMungu kuna vitu vingi vya msingi lazima uzingatie kabla hata ujakubali kuolewa na mtu

1. Je huyo mtu ana moyo safi?

2. Ana kuthamini?

3. Anakupenda?

4. Anakujali?

5. Anakuheshimu?

Shida ya wadada wengi wanateseka kwenye ndoa kwa kuangalia mambo kwa tamaa zao binafsi anaangalia material things bila kujua yupo mtu yukoje?
Kumbuka kutembea na KY ipo itakusaidia
 
Back
Top Bottom