Na ujiUnakuaga unapika nini? Usikute pishi la chai
Naomba ushee spices 😃Mwenyewe ni mpenzi wa kupika mashallah najua kupika vitu vingi sana vyenye ladha.
Kama wewe ni Mwanamme your finished.Ndg zangu.
Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wamewnza likizo napenda sana kuwafundushq mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile.
Sasa sijui wife anawqza nini ndoa isije tetereka
Yaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na DelinaKama wewe ni Mwanamme your finished.
Kama ni hivo basi mimi itabidi nikae jela kifungo maisha. Sababu napika pilau, biriani, Chapati zote na keki pia. Nisomee hukumu mkuumwanaume wife akienda kwenye msiba ndio upike tena usiku mchana kula Kwa mamá ntilie
vile vile kwamujibu waibara ya katiba inasema mwanaume kama wife hayupo inatakiwa ujipikie ugali wadona na mboga zamajani namatunda tuu.
sheria imepinga vikali mwanaume kupika pilau ukikamatwa nijela miaka kumi.
🤣🤣🤣mwanaume wife akienda kwenye msiba ndio upike tena usiku mchana kula Kwa mamá ntilie
vile vile kwamujibu waibara ya katiba inasema mwanaume kama wife hayupo inatakiwa ujipikie ugali wadona na mboga zamajani namatunda tuu.
sheria imepinga vikali mwanaume kupika pilau ukikamatwa nijela miaka kumi.
Ndg zangu.
Kipindi hiki ni wiki moja watoto wakiwa wameanza likizo napenda sana kuwafundusha mapishi mbalimbali. Tukiwa jikoni yaani ni kama hotelier vile.
Sasa sijui wife anawaza nini ndoa isije tetereka
Siyo kaka wa Kazi tu Bro. Huyo ni Dada wa Kazi kabisa ( a.k.a house girl material) .Kwa kweli Mungu amrehemu mwenzetu huyu.Yaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na Delina
Ukirejea uzi wa msingi. Nimesema nawafundisha watoroYaan anamaanisha umeisha Mzee wangu ushakua Bushoke subiri kukaribisha Mwanaume mwenzio ndani wewe ushaonekana ni km kaka wa kazi ndani ya nyumba umechukua majukumu ya mfanyakazi wenu wa ndani Ashura na Delina