hivi kumbe na wanawake wa jf huwa mnakuwa wajawazito! Mbona mkija clinic hamjitambulishi? Malezi mema!
Ukabila wako peleka huko huko bukoba kwenu, hapa tuko ki jf zaidi..bojo Koku waihyuka,otakutina kushubayo taliyo mahwa!
(tafsiri isiyo rasmi:hongera Koku,usiogope kuzaa tena)