hongera sana. naona shemeji zetu wapo makini sana. flora msoffe,kokutona na nai tena yule!?...safi sana. Mungu awabariki ninyi na watoto wenu. Ninyi ni mfano bora wa kuigwa na wote wanaokua na mawazo ya kipumbavu ya kutoa mimba.
Hahahaaaaaa Judgement umeanza eeeh uwe muwazi tu.....Hongera Koku, pole na 9 moons trip.
Napendekeza muachie uncle DUBU au uncle ErickB52 wakipita hapa wapendekeze jina la uncle ketu kapya.
Teh sio mtaalamu ila JG alitumia lugha ya mzunguko coz alimaanisha mtoto anafaa kuitwa Erick kwa kuwa tumebarikiwa sana....Ahsante sana. Nimeambiwa wewe ni mtaalamu wa kutoa majina.
Si katia mbegu au?Baba ahongere kwa lipi? Kashonwa?...
Hahahaaaaaa Judgement umeanza eeeh uwe muwazi tu.....
Sema unapendekeza aitwe Erick hope Kijana atakuwa wa kipekee...
Koku mwambie baba yake amwite Erick eeee ni jina zuri sana lenye baraka sana
Hongera sana da KOKU.Ninayo furaha kuwajulisha ili mfurahi nami. Nimepata mtoto wa KIUME, siku ya Jumamosi tar 10/03/2012 alasiri kwa operation.
It was the happiest moment in my life as God has given me the greatest gift in my life, the precious baby. he is my world, my love, my peace, my everything kwa kweli. Namwomba Mungu anisaidie niwe mama mwema, akaniongoze niweze kumtunza na kumlea kwa maadili.
Lets celebrate together for the NEW BABY BOY.
Hahahahahaaaa aisee mbona hata jana niliona watu wanatusema kwa usharobaro? ila hatuko hivyo labda hatujijui eeehMimi ndo baba yake na ndo mama yake, so jina li juu yangu
Ila Erick mmhhh!!! Naona km la kisuperstar sanaa. Naogopa mwanangu atakuwa bishololo.