Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
lbd hakuamini unamwita bar peke yake ili mkitoka hapo umpeleke gest? lbd ndio maana kaja na wenzie
Yeah - Maana wengine DAY ONE mmeonana anakuwa ameshalipia chumba tayari!!!
lbd hakuamini unamwita bar peke yake ili mkitoka hapo umpeleke gest? lbd ndio maana kaja na wenzie
hahahah!!hii yenyewee aseeeKama una 10,000/= mfukoni unaita binti baa ili iweje? Mapenzi na Mkono wa Birika haviendani - Kama huna pesa acha kusumbua mabinti zetu - Endeleaa na shule na mambo yakishakaa sawa utakuwa na uwezo wa kualika hata Baba na Mama yake binti pale Giraffe weekend moja...
Usikute huyo aliye mwita ndo anataka awe girlfriend sasa kaja na team nzima kama TP Mazembe.
Kilingala kwenda mbelehahahaa umenivunja mbavu kaka TP MAzembe tena....hahaaa yaani juzi nilipanda na waandishi wa habari wa TP MAzembe kwenye ndege wana makelele mpaka basi
Hit them all
Dawa ya nini? kama wamekula wenyewe na wameacha...!! Tatizo lako unajifanya unazo ndo maana wamekuja kukuchuna...!! kwani lazima ulipe? Mbona Kenya hata kama ni Girlfriend wako hatoki ukimtoa out mpaka umwakikishie kua gharama zote juu yako otherwise lazima aje na mshiko wake, tatizo sisi wabongo tunapenda sifa za kijinga halafu tukuja kulalamika.
kwa huku rchugga madent kama hao wanaokula halafu wanasusa wanaachwa wanalipa wenyewe hapo watajifunza kwa wengine kutokana na makosa yao.dawa kaka ndogo, aither walipe wenyewe we mlipie tu uliyemualika tena bila hiyana, au lipia ulivyotumia wewe then waage. Utaona sura zao na itakuwa ni fundisho kwa wote
Kuna hii tabia ya mabinti (hasa wa vyuo) unapomwita mmoja bar wanakuja watatu mpaka watano, halafu wakifika baada ya kuagiza vinywaji vya gharama (Redbull, Savanna, nk) hudai kwamba hawajala, wanaagiza chipsi kuku kila mmoja. Wanakula kiduchu halafu wanaacha eti wameshiba. Hii huwa inanikera sana, nani anaweza kuwa na dawa yake?
dawa yake utakayemuhita mwambie aje ni kinywaji chake na chakula.
Kuna hii tabia ya mabinti (hasa wa vyuo) unapomwita mmoja bar wanakuja watatu mpaka watano, halafu wakifika baada ya kuagiza vinywaji vya gharama (Redbull, Savanna, nk) hudai kwamba hawajala, wanaagiza chipsi kuku kila mmoja. Wanakula kiduchu halafu wanaacha eti wameshiba. Hii huwa inanikera sana, nani anaweza kuwa na dawa yake?
Dawa unamega wote full stop.
Kuna hii tabia ya mabinti (hasa wa vyuo) unapomwita mmoja bar wanakuja watatu mpaka watano, halafu wakifika baada ya kuagiza vinywaji vya gharama (Redbull, Savanna, nk) hudai kwamba hawajala, wanaagiza chipsi kuku kila mmoja. Wanakula kiduchu halafu wanaacha eti wameshiba. Hii huwa inanikera sana, nani anaweza kuwa na dawa yake?
Very simple,kumlipia uliyemuita tu au unaona soo itakula kwako mwazo mwisho we waendekeze tu
Mzuanda; I did the same back then,tulimfanyia (mcheza mpira mmoja hivi wa yanga,jina kapuni).mi nilienda na wasichana wa class nzima(marafiki zangu na wasiokuwa marafiki zangu pia),nia ilikuwa ni ku mkomoa, mtu mzima ovyo kwenda kunitongoza msichana wa form three.
tulikula na kunywa,uzuri ilikuwa ni soda tu na chipsi maini. then akalipa,tukarudi shule,hajanitafuta tena.demu akikufanyia hivyo ujue hakutaki
Ushamba tu na utoto utakuwa unakusumbua mtu wa hivyo!
we utakua bado unatongoza... anawaleta wenzie kuthaminisha
enzi zangu hapo unajitahidi kuchukua namba za hao wenzie, yani hilo bonge la opportunity sema ndio uzee tayari:ballchain: