Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mh, mkuu Fidel usinikumbushe hawa jamaa... na migoma yao
Hahahaha walikuja wengine na ndege wengine na bus duhh
Mh, mkuu Fidel usinikumbushe hawa jamaa... na migoma yao
Dawa unamega wote full stop.
Hahahaha walikuja wengine na ndege wengine na bus duhh
Nakubaliana na wewe Fidel, kila mmoja kwa wakati wake alipie gharama na hawa mademu wa vyuo wala hilo sio tatizo kubwa!
Nilishawahi kusema humu ndani na nitarudia tena,dawa ya watu wa hivyo ni ndogo sana,wakaribishe unapoishi hata waje kumi poa tu kisha unawasongea ugali wa nguvu unawawekea mezani,mkimaliza kula ndio unafanya mtoko mkifika huko ni vinywaji tu hakuna gharama ya mlo na wakiulizia mlo nawe unawauliza kwani hamkushiba ule ugali?
PM hapo utakuwa umesolve only 50% ya tatizo kwani vinywaji navyo ni issue mkuu. Utaenda nao huko then watakuumiiza kwenye vinywaji, madent wana mambo ya ajabu sana sorry lakini kwa hili, watakunywa redbull hapo hata tano tano. Binafsi huwa sielewi mtu unakunywaje redbull tano? Alcohol nitaelewa kidogo kwa sababu ya nature ya content yake lakini redbull haiingii akilini mtu anawezaje kunywa masukari na machemicals kiasi hicho huku kama si kujali afya zetu ni nini?
Kuna watu wamemponda mtoa mada either hawajamuelewa au makusudi wameamua kutokuwa objective. Jamani mm Z nimekualika ww A, how come bila taarifa unakuja na B,C,D,E,F,G etc? Kama nilikuwa na nia ya kuanzisha a serious relationship na wewe tayari hili kwangu litakupunguzia alama frankly kwani hii inaonesha huko organized. Issue hapa si budget peke yake hata convenience pia, maana kwa hilo sasa walengwa mnaweza kushindwa hata kuongea yale mliyokusudia. Kwa opinion yangu nadhani ni busara nikikualika wewe njoo wewe hao wengine toka nao kwingine sio kwenye mwaliko wangu au kama ni wangu basi kwa taarifa in advance.
Kuna hii tabia ya mabinti (hasa wa vyuo) unapomwita mmoja bar wanakuja watatu mpaka watano, halafu wakifika baada ya kuagiza vinywaji vya gharama (Redbull, Savanna, nk) hudai kwamba hawajala, wanaagiza chipsi kuku kila mmoja. Wanakula kiduchu halafu wanaacha eti wameshiba. Hii huwa inanikera sana, nani anaweza kuwa na dawa yake?
Sio kuwajua ninaishi huko na nimeolewa hukoUongo upi wewe? kwani we ndo unawajua zaidi wakenya?
We kwa nini unawaambia watu tunakoishi! Nakusubiri nyumbani ati kazi gani haziishi bana!Sio kuwajua ninaishi huko na nimeolewa huko
We kwa nini unawaambia watu tunakoishi! Nakusubiri nyumbani ati kazi gani haziishi bana![/QUOTE
Niko barabarani dear jam kubwa mno watu wengine wabishi mno......